Power G
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,886
- 1,193
- Thread starter
- #21
Nadhani kuna haja ya kuchukua kile chungu chenye udongo uliochanganywa na Nyerere na Karume siku ya muungano kirushwe katikati ya bahari kama ishara ya kuuvunja huo muungano ila kila nchi ijue lake.mungu saidia huu muungano uvunjike