Wazanzibari wasema Muungano umewadhoofisha na kuwatia ufukara, ni bora maisha ya nyuma kuliko ya leo

abu,

wazanziba wangestaarabika wangechimba vyoo...sio wakishajisaidia machakani wanaingia kwenye mchanga bahari kuchamba...
 
Hapo kwenye red bado sijaelewa. Ina maana kuna mtu alitoka Tanganyika (physically) akaenda Zanzibar kubadilisha TV ya rangi ikawa black & white, au akangoa mitambo kwenye viwanda, au akavunya nyumba za kisasa walizokuwa wanakaa wananchi or what? Na kuhusu taa za barabarani, haziwaki au shida ni nini? Mwezi ulipita Zanzibar wamefutiwa deni la Tshs 50 bilion na TANESCO mnataka nini tena?Kuna jambo moja ambalo mara nyingi watu wanaruka kusema. Mikopo inayotelewa Tanzania, Zanzibar wanapata 4.5% lakini kwenye kulipa madeni Zanzibar hailipi! Ni vizuri huu muungano ujadiliwe, kama ni kuvunja tuvunje, na kama ni kuusuka upya tuwe pasu pasu kwenye mambo ya muungano. Kila jambo la muuungano gharama zitoke pande mbili sawa kwa sawa. Kwa mfano, bajeti za wizara za muungano i.e mambo ya ndani, au ulinzi kila upande uchangie 50%.
Kibelaaaaaaaa! Kashindwa bill ya umeme ataweza bajeti za wizara zinazohusu mambo ya Muungano?
 
@ mzee lapa & ma2mbo

uvunjeni bac,wambieni viongozi wenu wauvunje,mnaogopa nin,mbona mnawangangania?hemu wacheni walie,midam machoz hayatojaza bahar hayatawazuruni nyinyi,
ah,mnapga zogo 2 km wapga debe,hem uvunjeni mumuone ataelia
 
@ mzee lapa & ma2mbo

uvunjeni bac,wambieni viongozi wenu wauvunje,mnaogopa nin,mbona mnawangangania?hemu wacheni walie,midam machoz hayatojaza bahar hayatawazuruni nyinyi,
ah,mnapga zogo 2 km wapga debe,hem uvunjeni mumuone ataelia

kwanini unawaambia wawaambie viongozi wao ( watanganyika ) wauvunje muungano. Kwani Z'bar si nchi? Kama mmeona hakuna faida kwenye muungano kwanini msijitoe? Mnasubiri kutolewa? Huu ni ujinga! Ni sawa na mwanamke anayenyanyaswa na bwana halafu hataki kuondoka!
 
@ mzee lapa & ma2mbo

uvunjeni bac,wambieni viongozi wenu wauvunje,mnaogopa nin,mbona mnawangangania?hemu wacheni walie,midam machoz hayatojaza bahar hayatawazuruni nyinyi,
ah,mnapga zogo 2 km wapga debe,hem uvunjeni mumuone ataelia

we unauliza nani atakae lia?inamaana ujui!!
Juzi meli ilipokwama huko pemba watu wameshindwa kuokolewa wametoka wanalia bora ata kila kitu chenu kiendeshwe na m'bara...nikaona ahaa kumbe mnaujua umuhimu wetu sema mmeumbwa walalamishi...na mkiendelea kutuudhi tutawanyang'anya ata iyo hadhi ya mkoa tuugeuze mtaa wa unguja na pemba,tuwaamishie mkoa wa Tanga ndio labda mtajifunza heshima.
 
wazenji hawawezi kufanya action yoyote ile,kila siku wanazungumza maneno yaleyale tu,hawana jipya
 
Hawa jamaa wengi ni wapiga domo na sio wachakarikaji. Wanaamini hata yasiyoaminika. Kuna mjanja anataka kuwafix baada ya kuvunja muungano. Watchout you will see...

Hapo kwenye RED!!

This is typical arabic culture which they have foolishly embraced, thinking it is part of islam!!!!
 
we unauliza nani atakae lia?inamaana ujui!!
Juzi meli ilipokwama huko pemba watu wameshindwa kuokolewa wametoka wanalia bora ata kila kitu chenu kiendeshwe na m'bara...nikaona ahaa kumbe mnaujua umuhimu wetu sema mmeumbwa walalamishi...na mkiendelea kutuudhi tutawanyang'anya ata iyo hadhi ya mkoa tuugeuze mtaa wa unguja na pemba,tuwaamishie mkoa wa Tanga ndio labda mtajifunza heshima.
[h=3]Resolutions granting membership[/h][h=4]Tanganyika[/h]S/RES/170 (1961) of 14 Dec. 1961 (S/PV.986)
A/RES/1667 (XVI) of 14 Dec. 1961 (A/PV.1078)
[h=4]Zanzibar[/h]S/RES/184 (1963), of 16 Dec. 1963 (S/PV.1084)
A/RES/1975 (XVIII) of 16 Dec. 1963 (A/PV.1281)
Following the ratification, on 26 Apr. 1964, of the Articles of Union between Tanganyika and Zanzibar, the two States have been represented in the Organization as a single Member, the United Republic of Tanganyika and Zanzibar, which changed its name to the United Republic of Tanzania on 1 Nov. 1964; see the Historical Information from the UN Treaty Collection.
UN Document Symbol:
A/RES/1975(XVIII)
Issuing Body / Session:
A/ 18
Title:
Admission of Zanzibar to membership in the United Nations.
Link To:
Author / Contributors:
Notes:
Adopted at the 1281st plenary meeting, 16 Dec. 1963.
Relation Notes:
In: Resolutions adopted by the General Assembly during its 18th session, 17 September-17 December 1963. - A/5515. - 1964. - p. 9. - (GAOR, 18th sess., Suppl. no. 15).
Subjects:
Type of Material:
Resolutions and decisions (UN) B01
Distribution:
GEN
Job Number:
NR018650 E

[h=3]pigeni zogo eti mkoa hahahaha[/h]TULIENI SASA tuwasomeshe siasa watu wa maporini na milimani, huu mkataba ulioelezwa hapo juu tushaupangia expire date(serious concern) yake tunakupeni tarifa tu na mda mukaee mkao wa kuunda SEREKALI YA TANGANYIKA mnajifanya hamuelewi wadanganyika....

''JAMUHURI YA WATU WA ZANZIBAR KWANZA''

 
Hawa jamaa wengi ni wapiga domo na sio wachakarikaji. Watchout you will see...

sisi wazanzibar wapiga domo sawa!!!! si wachakarikaji sawa!!!
usambazaji maji safi
zanzibar more than 60%
tanganyika less than 20%

matimizi ya huduma ya umeme

zanzibar 94%
tanganyika 14%
wasojua kusoma na kuandika
zanzibar less than 1%
tanganyika more than 40%

sorry kuna kitu mmetuzidi mawaziri wanohusishwa na ufisadi na wizi wa mali ya umma 8 wote watanganyika, duuuh
kwanza niwaulize ndugu zangu wadanganyika albino na vikongwe mshawamaliza kwa kuwauwa na kuwakata viungo je? vipi kuhusu kampeni ya kuzuiya ukeketaji wanawake mmefikia wapi historia inaonyesha zanzibar imemaliza matatizo hayo zaidi ya miaka 200 iliyopita
nawashauri mshughulike na matatizo yenu sio zanzibar haiwahusu
 
hawa watu wanachekesha sana, mbona kwenye referendum ya kusema wanataka muungano au la walipiga kura`kusema wanataka muungano uendelee sasa hizi chokochoko zinatoka wapi? nadhan ifanyike nyingine na majibu ya kipatikana tuwape nchi yao hao wazanzibar cjui kwa nini tupo kwenye muungano kama hawataki, hatuna tunacho gain kutoka kwao zaidi ya kuharibu kizazi chetu cha watu wenye akili kwa kudilute na hawa inferior people!
 
hawa watu wanachekesha sana, mbona kwenye referendum ya kusema wanataka muungano au la walipiga kura`kusema wanataka muungano uendelee sasa hizi chokochoko zinatoka wapi? nadhan ifanyike nyingine na majibu ya kipatikana tuwape nchi yao hao wazanzibar cjui kwa nini tupo kwenye muungano kama hawataki, hatuna tunacho gain kutoka kwao zaidi ya kuharibu kizazi chetu cha watu wenye akili kwa kudilute na hawa inferior people!

Ondoa pumba zako ...lini watanganyika na wazanzibari waliulizwa kama wanataka muungono au hawataki?
 
@ mzee lapa & ma2mbo

uvunjeni bac,wambieni viongozi wenu wauvunje,mnaogopa nin,mbona mnawangangania?hemu wacheni walie,midam machoz hayatojaza bahar hayatawazuruni nyinyi,
ah,mnapga zogo 2 km wapga debe,hem uvunjeni mumuone ataelia

Dah! Tunakoelekea sasa naona giza, I smell the smell of biafra let‘s be careful with this saga,may be tumeichoka hii amani.
 
Hapo kwenye red bado sijaelewa. Ina maana kuna mtu alitoka Tanganyika (physically) akaenda Zanzibar kubadilisha TV ya rangi ikawa black & white, au akangoa mitambo kwenye viwanda, au akavunya nyumba za kisasa walizokuwa wanakaa wananchi or what?

Na kuhusu taa za barabarani, haziwaki au shida ni nini? Mwezi ulipita Zanzibar wamefutiwa deni la Tshs 50 bilion na TANESCO mnataka nini tena?

Kuna jambo moja ambalo mara nyingi watu wanaruka kusema. Mikopo inayotelewa Tanzania, Zanzibar wanapata 4.5% lakini kwenye kulipa madeni Zanzibar hailipi!

Ni vizuri huu muungano ujadiliwe, kama ni kuvunja tuvunje, na kama ni kuusuka upya tuwe pasu pasu kwenye mambo ya muungano. Kila jambo la muuungano gharama zitoke pande mbili sawa kwa sawa. Kwa mfano, bajeti za wizara za muungano i.e mambo ya ndani, au ulinzi kila upande uchangie 50%.

FJM inaonekana bado uko katika kungagania Muungano na sifa zote unazo jisifia kuwa muna umme na viazi vibovu lakini Bado munagagania Muungano Muungano upi huo na Tanganyika haipo? eti ukivunjika Muungano wazanzibar tutawafuku za epo kwani Wazanzibar hawana nchi yao?.

Wakiondoka Wazanzibar watawachia maduka sio tamaa yenu ya ujambazi?, Muungano ni fake na Baba enu wa Taifa Nyerere hakuwa mungwana alikuwa lahai na muongo, ukitaka zaidi

Bonyeza hapa utaona Nduguyenu Issa Ponda anasemajee Sio mie?

Video – Muhadhara Lumumba tarehe 26/4/2012 ’1' | Mzalendo.net
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom