Wazanzibari wanajua mapenzi kuzidi wa bara??????????

Nilipofika mji ule nikakutana na kunguni na chawa, hata hamu na wakazi wake sikua nayo.
 
The Boss kwani Tanga iko wapi? Maana juzi hawa wanawake wa Kizanzibari walifanya maandamano makubwa kupinga wanawake wa Kitanga kuwachukua mabwana zao
 
Last edited by a moderator:
Ahahaaaaa. Mkuu nasikia kuwa wanawake wa kizenji wanatunza sana bikira zao hadi waolewe. Yaani wanaona bora akupe 0715 kuliko kuvunja bikira yake before ndoa. Kingine ni kuwa kwa nini wanawake wa kizenji wanaoishi Tanganyika wakipata ujauzito wanakwenda kujifungulia zenji? Nimechunguza majirani zangu km wa5 hivi ninaoishi nao jirani huku tandika. Nijuzeni wadau.

kwa sababu wengi wao huwa hawafanyi kazi za kuajiriwa, kwa kawaida kila mwanamke anapotaka kujifungua anafikiria kwenda kwao au ukweni ila tu kama ameajiriwa hawezi kutoka hivyo hutafuta msaidizi.
 
Kwa mda mrefu nimesikia kuwa wanawake wa zanzibar

ni wajuzi zaidi kwenye mapenzi kuliko wabara.....

But binafsi sijawahi kuona wanachozidi......

I mean nimewahi kutoka na wanawake wa kizenji na bara

sanasana naweza sema wanawake wa zenji ni kama wa tanga hivi
zaidi wanakuwa na mahaba zaidi.....walo more romantic but still

unaweza kukuta wa bara akakudatisha kuliko wa zenji.....


But hivi karibuni nilikuta wanawake fulani hivi wakisema
kuwa wanaume wa zanzibar wako juu au wanajua zaidi mapenzi kuliko

wa bara.

Sasa kidogo nikawa najiuliza is it true?????kivipi??????

But ukiwa zenji cha zaidi utakuta wanaume wengi wakienda sokoni
au kufanya kazi ambazo huku bara watu huwaachia zaidi wake zao...

Nikawa najiuliza inawezekana vitu kama hivyo ndio sababu....

Sasa ningependa wana jf kama mmewahi sikia hili la wanawake au wanaume wa zenji
kusifiwa kwa mapenzi.....

Nini unafikiri ndo sababu???????kuna ukweli wowote?????????

Hamna ukweli. wazenji hawajui mapenzi. mapenzi yao ya kugeza mtume wao.
 
Back
Top Bottom