Wazanzibari wanajua mapenzi kuzidi wa bara??????????

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,063
115,462
Kwa mda mrefu nimesikia kuwa wanawake wa zanzibar

ni wajuzi zaidi kwenye mapenzi kuliko wabara.....

But binafsi sijawahi kuona wanachozidi......

I mean nimewahi kutoka na wanawake wa kizenji na bara

sanasana naweza sema wanawake wa zenji ni kama wa tanga hivi
zaidi wanakuwa na mahaba zaidi.....walo more romantic but still

unaweza kukuta wa bara akakudatisha kuliko wa zenji.....


But hivi karibuni nilikuta wanawake fulani hivi wakisema
kuwa wanaume wa zanzibar wako juu au wanajua zaidi mapenzi kuliko

wa bara.

Sasa kidogo nikawa najiuliza is it true?????kivipi??????

But ukiwa zenji cha zaidi utakuta wanaume wengi wakienda sokoni
au kufanya kazi ambazo huku bara watu huwaachia zaidi wake zao...

Nikawa najiuliza inawezekana vitu kama hivyo ndio sababu....

Sasa ningependa wana jf kama mmewahi sikia hili la wanawake au wanaume wa zenji
kusifiwa kwa mapenzi.....

Nini unafikiri ndo sababu???????kuna ukweli wowote?????????
 
Utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe!
Utapewa mapenzi na mahaba kufuatana na wewe unavyorespond.... ukishikwa shikamana..ukipendwa pendeka na upende vilevile.
Usisubiri miujiza ya kizenj, kitanga, wala kizaramo au kimakonde!
 
we hujafika Chumbageni kabisa inaonyesha!!..ha ha ha
Raha ya mapenzi inaendana na ushirikiano, usisikilizie tu ilhali we umetulia ka ukuta!!
 
but why wengine husema hivyo??????

i mean yawezekana wote hawajui wachokizungumza??????
 
Inategemeana na mtu alivyo mzoefu katika suala zima la kula chakula cha usiku,kadri mtu anavyofanya ndivyo uzoefu unazidi kupatikana,so kama unakutana na mtu ni mtaalamu wa mambo hayo ujue kapita kwingi au kapitiwa na wengi ndio maana anadatisha.
 
Hakuna ki2 kama hicho...
Sorry but am very transparent... ni wavivu sana ila maneno ndo mingi
 
Utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe!
Utapewa mapenzi na mahaba kufuatana na wewe unavyorespond.... ukishikwa shikamana..ukipendwa pendeka na upende vilevile.
Usisubiri miujiza ya kizenj, kitanga, wala kizaramo au kimakonde!
he he heee,we mama wee!
 
wazanzibar si ndio wanaongelea poani like they are very soft? BIG NO for me i dont find them turn-on at all.... samahani kama nimekwaza mtu.....
 
oww hohoooooooo r u for real? s: NN ur behaviour is monstrous! I need to talk to your mama. ...
 
oww hohoooooooo r u for real? s: NN ur behaviour is monstrous! I need to talk to your mama. ...

For real Noname (notice how both our names have NN? NoName/ Nyani Ngabu - that's destiny baby)...so real talk NN..you need to let me hit that pristine vajayjay of yours....you won't regret it....
 
as far as I am concerned kila mtu anajua mapenzi mazito. kitu muhimu ni "chemistry" ikiwepo ufundi utajitokeza wala huhitaji kufundishwa na mtu. na raha nayo utaiona hata pale ambapo mtu mwingine haelewi kwa nini unaona raha. kemia ikiwepo, basi hata ukimwona huyo umpendae mwili wote unakuwa tayari kwa mapenzi. Lakini kama hakuna kemia hata mtu atoe nguo waweza kuona kichefu chefu badala ya nyege...
Kwa kifupi hakuna cha wabara, wala wazenji, wazungu wala weusi wenye kujua mapenzi kuliko wenzao......
That's just me.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom