masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
Mambo yanavyoendelea huko visiwani na hatma ya muungano ni swala linaloendelea kuleta wasi wasi kwa Watanzania walio wengi.
Suala la hivi karibuni la kuchoma moto makanisa zidi ya manne limetia doa kubwa katika "udugu" uliokuwepo kati ya Bara na Visiwani.
Licha ya matamko ya kulaani vitendo vya kupinga muungano, harakati hizo zimekuwa zikirndelea, tena wazi wazi.
Tanganyika tusije bweteka na hali hii na tukajikuta tumelea mahasimu ambao siku ya siku inakuwa vigumu kuwa tambua.
Leo Kenya wanatatizo hilo na Wasomali.
Mwaka 1939-45 wajerumani wote waliorodheshwa humu Tanganyika ili iwe rahisi kidhibiti vitendo vyao, ulipoingia utawala wa Kiingereza.
Ni vyema na sisi leo tukafanya hivyo ili kudhibiti lile kundi linaloitwa" the 5th column".
Wakuu tuchangie katika hili, tusije lia kilio cha mjukuu.
Suala la hivi karibuni la kuchoma moto makanisa zidi ya manne limetia doa kubwa katika "udugu" uliokuwepo kati ya Bara na Visiwani.
Licha ya matamko ya kulaani vitendo vya kupinga muungano, harakati hizo zimekuwa zikirndelea, tena wazi wazi.
Tanganyika tusije bweteka na hali hii na tukajikuta tumelea mahasimu ambao siku ya siku inakuwa vigumu kuwa tambua.
Leo Kenya wanatatizo hilo na Wasomali.
Mwaka 1939-45 wajerumani wote waliorodheshwa humu Tanganyika ili iwe rahisi kidhibiti vitendo vyao, ulipoingia utawala wa Kiingereza.
Ni vyema na sisi leo tukafanya hivyo ili kudhibiti lile kundi linaloitwa" the 5th column".
Wakuu tuchangie katika hili, tusije lia kilio cha mjukuu.