Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Kuna fununu kuwa Wazanzibari hawatasheherekea Siku kuu ya Muungano na watakaoshiriki ni kuwaziba macho WaTanganyika ilihali ndani ya nyoyo zao si washiriki.
Umoja wa Wazalendo, unachukuwa fursa hii kukumbushana kwamba kusherehekea siku ya msiba mkuu huu, ni kusherehekea uovu huu, kitendo hicho ni ishara ya upungufu wa uzalendo na khiyana juu ya Zanzibar.
Umoja wa Wazalendo, unachukuwa fursa hii kukumbushana kwamba kusherehekea siku ya msiba mkuu huu, ni kusherehekea uovu huu, kitendo hicho ni ishara ya upungufu wa uzalendo na khiyana juu ya Zanzibar.