Ha ha haaaa, hautawapata kwani wamevaa mavazi matakatifuwaache waje mie najitolea kuhifadhi mabinti tu
Wee chiziii wacha uongo wako huo au ndio propaganda zenu ili muoneshe kuwa Wazanzibari tunaipenda Tanganyika, kwa hili hujafanikiwa tafuta jengine la kuzua usitupotoshe wenzako.
Ndo hayoo mara kanisa limechomwa, cjui watanganyika watakiwa wahame Zenji, ilimradi kujitukuza, cheki magazeti ya leo mmeweka mpaka picha za kughushi kwenye Tz Daima khaaa!!!!
Nina marafiki zangu wa ki Zanzibar wengi sana hata maeneo ninayoishi wako wengi sana. Kuna wengine walienda kwao muda mrefu leo nimewaona wengi kweli wanawasili! Nikajiuliza si hawataki muungano huku wanataka nini tena?.
wabara msijidanganye na ulimwengu wa sasaiv, mzanzibar ana uwezo wa kuishi maisha bora bila hata kugusa bara, dunia ni ndogo sana zenu ni pumba tu na ndio maana wanajiamini kudai nchi yao, mbona nyinyi hamudai tanganyika yenu? na mumesoma sana?
Waacheni waje! Tukinukisha huku na sisi naenda kukamata maduka yao kule kariakoo
wabara msijidanganye na ulimwengu wa sasaiv, mzanzibar ana uwezo wa kuishi maisha bora bila hata kugusa bara, dunia ni ndogo sana zenu ni pumba tu na ndio maana wanajiamini kudai nchi yao, mbona nyinyi hamudai tanganyika yenu? na mumesoma sana?
Ha ha haaaa, hautawapata kwani wamevaa mavazi matakatifu
Mjomba, kama kuna siku muungano utavunjika hayo maduka yatakuwepo na wala hakutakuwa na kitu mtakachoweza kukiongoza! Umasikini pale pale hata muachiwe vyote! Nyambafu!
Wakati mwingine hoja zetu zinakuwa dhaifu sana, yani tunaangalia mambo katika one dimension tu na tukiwa very biased, In the house of great thinkers!!! kweli kwenye msafara wa Mamba na Kenge nao wamo. Wakati mwingine kukaa kimya ni busara pia. Ni ushauri tu jamani
Nina marafiki zangu wa ki Zanzibar wengi sana hata maeneo ninayoishi wako wengi sana. Kuna wengine walienda kwao muda mrefu leo nimewaona wengi kweli wanawasili! Nikajiuliza si hawataki muungano huku wanataka nini tena?.