Muungano ukiwa bado mbichi wazanzimbar wako uwanja gani sijui huu kelele mpka hawasilikizani
swali langu kwa watanganyika hawa watu tunawanganagania nini? Wanasema wazi hawatupendiiiii mim nadhn imefika hatua tuwachie hawa watu au tukubariane turudi kwenye meza tukubaliane ni muungano gani wanautaka
japo dukuduku langu sijui kama hawa watu wanafanya tafakuri ya waliendealo nchi hawana hata uwezo wa kuripia gharama za umeme hawajiwezi kulipia wafnyakzi bira kutegemea budget ya muungano
greater thinker hawa watu vip na hili limekaaje?
swali langu kwa watanganyika hawa watu tunawanganagania nini? Wanasema wazi hawatupendiiiii mim nadhn imefika hatua tuwachie hawa watu au tukubariane turudi kwenye meza tukubaliane ni muungano gani wanautaka
japo dukuduku langu sijui kama hawa watu wanafanya tafakuri ya waliendealo nchi hawana hata uwezo wa kuripia gharama za umeme hawajiwezi kulipia wafnyakzi bira kutegemea budget ya muungano
greater thinker hawa watu vip na hili limekaaje?