CHEMPO
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 368
- 59
Najaribu kufikiri kama kikwete angeichukua hii nchi mwaka 95...akiwa kijana zaid,yafuatayo nafikiri yangekuwa yametimia:
1.nchi ingekuwa imeshaisha namaaniisha tanganyika ingeshapotea kwenye uso wa dunia
2.kwa sasa ukombozi wetu ungeshakamilika,namaanisha tungekuwa huru,mbali na dudu ccm
ongeza plz
1.nchi ingekuwa imeshaisha namaaniisha tanganyika ingeshapotea kwenye uso wa dunia
2.kwa sasa ukombozi wetu ungeshakamilika,namaanisha tungekuwa huru,mbali na dudu ccm
ongeza plz