Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,845
- 5,064
ila hii kamati ya BBA Tanzania itupe sifa na vigezo vya kushiriki huyo alietoa mada naona ana maana yake na ameona mbali
unajua FL nini, huyu dada ni mjinga sana kwanza ukimwangalia tu luningani na kama najua pyschology za watu unajua kuwa hu dada yupo kundi la sanguine.hapo ndo nimemweka mimi na pia ana mnara wa kiburi, dharau na majivuno. huyu hayuko kwenye kundi la melachoric,phlegmatix au choleric.