Omuregi Wasu
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 749
- 148
Kwai kuna la kushangaza? ni uamuzi tu..... uwe na mzungu au mwafrika wote ni bin Adam na hujaongeza wala kupunguza kitu... nyama ni zile zile tu ila mabucha tofauti. Usisifie bucha bali mpishi wa nyama.... Je, kati ya mzungu, mchina, mhindi, mwarabu na mwafrika nani anajua kupika??? Biti kaonja mapishi ya mzungu tu anajisifu ... atuulize tulioonja ya wote ili tumpe mpishi bora!!!