mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Mkuu Katavi, unahuwakika na unachokisema? au na wewe unaleta porojo za kijiweni? siku moja nitakupa ofa ya detoxification pedicure uone raha yake. Kwenye salon za kiprofeshino huwezi kuta mambo ya wasagaji wala mambo ya ushogaHuko saloon kuna wataalamu zaidi, na pia huduma nyingine pia zinapatikana endapo mtu atazidiwa, maana inasemekana mashoga na wasagaji pia ndio sehemu za kupatia wateja.