Mroojr
Member
- Nov 15, 2010
- 65
- 8
Watu wawili wafa pale pale muda mfupi uliopita baada ya kugongwa na gari iliyokukuwa ikivutwa na gari ingine. Waendesha piki piki hao waligongwa na kufa papo hapo baada ya bomba lililotumika kuvutia gari hiyo kukatika na gari hiyo kuhama njia na kuwakuta wahanga hao.