Philipo Kidwanga JF-Expert Member Jul 12, 2012 2,042 599 Oct 17, 2012 #2 wanauza roho zao kwa bei nafuu.
LexAid JF-Expert Member Jul 5, 2011 1,931 772 Oct 17, 2012 #3 Wewe ulioipiga hii picha ulikua unafanya nini hapo pembeni? hebu tueleze kwanza..
Dodoma one JF-Expert Member Apr 23, 2012 326 29 Nov 10, 2012 #4 No daily train now days bwana so sometimes watoto waweza cheza hata ball ktk reli,its future imposible continous tense.
No daily train now days bwana so sometimes watoto waweza cheza hata ball ktk reli,its future imposible continous tense.
samilakadunda JF-Expert Member Oct 13, 2011 1,780 354 Nov 10, 2012 #5 ushukurumungu wange kwapua hako ka camera!
Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Feb 3, 2009 42,318 33,125 Nov 10, 2012 Thread starter #7 LexAid said: Wewe ulioipiga hii picha ulikua unafanya nini hapo pembeni? hebu tueleze kwanza.. Click to expand... mkuu LexAid Hawa watoto wanafanya uharibifu ndani njia ya reli kama kwamba Polisi wa reli hawako hapo sio kitu kizuri wanachofanya hapo hao watoto. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
LexAid said: Wewe ulioipiga hii picha ulikua unafanya nini hapo pembeni? hebu tueleze kwanza.. Click to expand... mkuu LexAid Hawa watoto wanafanya uharibifu ndani njia ya reli kama kwamba Polisi wa reli hawako hapo sio kitu kizuri wanachofanya hapo hao watoto.
Mwana Mtoka Pabaya JF-Expert Member Apr 22, 2012 15,118 16,470 Nov 10, 2012 #8 Mkuu MziziMkavu, polisi wa reli hawawezi kukaa kwenye railway yote tangu dar mpk kwa kina Zito. Ulipomaliza kupiga picha ulipaswa kuwapa ilmu hao madogo. Sanasana mi naona wanamtafutia lawama Mwakyembe kama wapo inapopita dala dala yetu Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Mkuu MziziMkavu, polisi wa reli hawawezi kukaa kwenye railway yote tangu dar mpk kwa kina Zito. Ulipomaliza kupiga picha ulipaswa kuwapa ilmu hao madogo. Sanasana mi naona wanamtafutia lawama Mwakyembe kama wapo inapopita dala dala yetu
GreenCity JF-Expert Member May 28, 2012 5,620 4,265 Nov 10, 2012 #9 Wanafungua bolt za reli, na kwenda kuuza scraper!
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,145 13,216 Nov 11, 2012 #10 hawa wameshashiba wametafuta sehemu ya kupumulia hewa ya kaboni dio saidi
S samike JF-Expert Member Oct 8, 2012 598 226 Nov 11, 2012 #11 MziziMkavu said: mkuu LexAid Hawa watoto wanafanya uharibifu ndani njia ya reli kama kwamba Polisi wa reli hawako hapo sio kitu kizuri wanachofanya hapo hao watoto. Click to expand... dah best hii ni ndoto hapa mitaani polisi baadhi ya mitaa hawafiki doria ni wachache unataka wapige doria reli mmmm Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
MziziMkavu said: mkuu LexAid Hawa watoto wanafanya uharibifu ndani njia ya reli kama kwamba Polisi wa reli hawako hapo sio kitu kizuri wanachofanya hapo hao watoto. Click to expand... dah best hii ni ndoto hapa mitaani polisi baadhi ya mitaa hawafiki doria ni wachache unataka wapige doria reli mmmm