Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,557
- 19,432
.............ajira zipatazo zaidi ya 150,000
Yaani jamaa wamechuma sana kwa kuchukua madini yetu yote bila kodi eti kwa kutuletea ajira 150,000 tu, tena zile za chini. Wanaona sasa wameacha mashimo tu na kutuona hatuna maana tena; ama wametufanya sisi ni kondomu au tulijifanya wenyewe kuwa kondomu zao.
Yaani jamaa wamechuma sana kwa kuchukua madini yetu yote bila kodi eti kwa kutuletea ajira 150,000 tu, tena zile za chini. Wanaona sasa wameacha mashimo tu na kutuona hatuna maana tena; ama wametufanya sisi ni kondomu au tulijifanya wenyewe kuwa kondomu zao.