- Thread starter
- #21
...ili watusaidie kuondoa madini (takataka) ambayo ni kero kwa mazingira ya nchi yetu.Serikali inatakiwa kuandaa mazingira mazuri ya kuvutia wawekezaji!!!
...ili watusaidie kuondoa madini (takataka) ambayo ni kero kwa mazingira ya nchi yetu.Serikali inatakiwa kuandaa mazingira mazuri ya kuvutia wawekezaji!!!
Mkuu,Wewe umechelewa sana kugundua utata miongoni mwa irregularities nyingi kwenye mikataba ya wawekezaji wa migodi. Je umewahi kuwajulisha wananchi kuwa zaidi ya GOLD inayochimbwa pia huwa wanachimba PLATINIUM. Kama ukiwafahamisha wananchi labda watafungua macho na kudai mikataba yote ibatilishwe na ifanyike mipya kwa maslahi ya taifa. Wananchi wenzangu hembu tengeni muda mdogo kila siku ili mjiulize: KWA NINI UDONGO WENYE DHAHABU SIKU ZOTE UNAPELEKWA NJE YA NCHI KWA KISINGIZIO UNAPELEKWA KUSAFISHWA NA KWA NINI HAPAJAJENGWA MTAMBO WA KUUSAFISHA UDONGO HUO HAPA NCHINI HATA AKIPATINA MWEKEZAJI WA KUUJENGA.
What does a fish know about the water in which it swims all its life?
Kinachoshangaza ni kuwa hata hao viongozi wakiongea kwenye vyombo vya habari wanaonekana wanajua makosa yanayofanyika, tena huwa wanaahidi kutoyarudia. Cha ajabu hazipiti siku nyingi hao hao tena wanafanya ******.Mmeliwa kudadadeki
Hatukatai "kuwavutia" wawekezaji!Fikiria na utaona kua sera ya CCM ni kuvutia wawekezaji kwa hali yeyote ile, hadi JK anatembea na mafaili ya uwekezaji kokote aendako - mikataba inafanyika popote hata njiani.
Mimi naamini baada ya huu mradi wa maji kukamilika Kampuni itachangia mapato kwa 80% na wananchi 20% tu. Lakini serikali ya CCM haiwezi kusema hayo mambo kwa kua wanataka kuchakachua asilimia 50% ya mapato. Miradi mingi ya serikali ya CCM mapato yake wale hayaeleweki - ni siri ya serikali. Serikali ya CCM lazima ijifunze kuelimisha raia kuhusu miradi yake hasa kuhusu mapato.