Olaigwanani lang
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 541
- 175
Leo asubui kabla ya kikao cha baraza la wawakilishi kuanza spika wa baraza la wawakilishi,bw.kificho alitangaza kazi ya kwanza ni kumwapisha mwakilishi wa jimbo la bububu,ndipo wajumbe wote pamoja na mawaziri wa upinzani kupitia cuf wakatoka nje kwa kile kinachosemekana kupinga matokeo ya jimbo la bububu....