Bajeti hii tena sijui wataongeza bei?
mh,natamani bia moja iwe 5000/= na sigara iwe 3000/= :majani7:
Tungoje
Speaker nakuheshimu sana plz.
Hahaaaa, mkuu nahisi unatamani kumbembea masikio yake.....
Speaker i wish to join you a hand, hawa jamaa wanachangia budget kwa kiasi kikubwa sasa huo mkakati wako si unaweza kuleta distortion ya marikiti na mapato kupungua kwa kiasi kikubwa? maana watahamia kwenye zile ambazo hazitozwi kodi....hahahaaa
Bajeti hii tena sijui wataongeza bei?
mh,natamani bia moja iwe 5000/= na sigara iwe 3000/= :majani7:
Tungoje
Bajeti hii tena sijui wataongeza bei?
mh,natamani bia moja iwe 5000/= na sigara iwe 3000/= :majani7:
Tungoje
Awapi,hata bia ifike elfu 20 nakwambia watu wata kunywa tu,...
inapokuja kwenye vilevi sijui hua wanaficha wapi akili zao!
Mwaka jana nilidhani wavuta sigara watapungua lakini wapi,...
sasa wapandishiwe mara 300 ili tupate kodi kwa wingi,
trust me,wata kunywa na kuvuta tu,...
wanapenda kujiua si mchezo
JK katuambia wanauza misuba/unga sasa kwani ni vibaya kurejea maneno ya Mh.Rais?Nakuheshimu martina,ntakupa ban ohoooo
sigara iwe 3000/= :majani7:
mh,kwamba ni bia ni elfu5 tayari?
okey,then iwe 10,000/= basi
Bajeti hii tena sijui wataongeza bei?
mh,natamani bia moja iwe 5000/= na sigara iwe 3000/= :majani7:
Tungoje