Gilbert Clavery
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 438
- 360
Sikiliza dini ni imani si kitu ambacho kina uhakika kwa asilimia zote kwahiyo ukiona mimi au yule anaamini kidogo ama hana imani na dini usimchukulie kama majinga unaamini tu....huna uhakika ni upumbafu sana kuabudu kanisa msikiti shehe shemasi mimi siamini