Hallow wana JF, weka picha,mahali ulipo,contact zako na specifications za device yako
Hv jyna clone ya iphone duniani?msiharibu biashara za watu jamani?Nimegundua Iphone nyingi zinazouzwa hapa ni clone ila wanawatega wenzengu na mimi ili waingie mkenge wauziwe kwa mara mbili au tatu ya bei ya clone. tafadhali waungwana kama unanunua iphone na hujui jinsi ya kutofautisha kati ya clone na original usiingie kichwa kichwa.
habar wana jamii.mi nina samsung galaxy s ina 16 gb intrrnal memory natak nibadilishan na mtu yoyote mweny samsung note 3 copy au s5 copy
2pien bs na laptop hats camera pia km zoo....xo phn 2
ORIGINAL samsung galaxy s5 16gb 16mp 5.1inch inauzwa inacrack kwenye mfuniko
kwa nyuma na kwenye kioo kidogo saana hata haionekani kiwepesi. bei chee haina tatizo lolote
kwa 380000 nicheki pm.
Wale mafundi simu, nauza s3 yangu kwa ajili ya vifaa.
Simu iko katika hali nzuri,kioo hakina scratch. nimeambatanisha na picha.
Bei ni laki 1,kwa mawasiliano zaidi nicheki PM.
Hv jyna clone ya iphone duniani?msiharibu biashara za watu jamani?