Wauza smartphone tukutane hapa

Nauza samsung s4
Ram 2
Rom storage 16gb
Network 2G 3G 4G lite
Android version lolpop
Camera 13.
BEI.300000 simu bado mpya.napatikana dar.
dd2ab85cae44534a0f56fd3bbce1ad63.jpg
674dbf26dd9a846de458e6f8a9b6ee9d.jpg
9d4a758c26d208591856e70220f1d25f.jpg
weka namba ya simu
 
Huawei P8 Max
Dual SIM (Micro-SIM/Nano-SIM, dual stand-by)
GSM / HSPA / LTE
32GB, 3 GB RAM
Primary 13 MP, f/2.0, autofocus, OIS, dual-LED (dual tone) flash
Non-removable Li-Po 4360 mAh battery
Luxurious Gold
Brand New - Price 850,000/= Call 0716191356
Huawei-P8-Hands-On1.jpg
 
nauza Samsung galaxy JI ace 190,000. Simu ni original ina miezi 4, simu ipo katika hali nzuri haisumbui chochote. mie naiuza kwakua kuna mambo yamenibana sana. kwa atakaye ihitaji ani PM
1464986442941.jpg
1464986457538.jpg
1464986472808.jpg
1464986489993.jpg
1464986506397.jpg
1464986536032.jpg
 
kwa atakaehitaji samsung galaxy s2 anitafute..

Iko kwenye hali nzuri bado, ina uwezo wa kutunza chaji kulingana na matumizi yako..

Inatumia chaja nzuri, excellent ambayo inai-full kwa 2hours only ikiwa empty..

Tukutane viunga vya dar, nibipu, nitakupigia kwa 0762972021..
Bei elekezi ni Tshs 168,000.
karibu
 
Samsung galaxy s3 for sale inahitaji laki mbili na ishirini only....imepasuka glass ambayo kuibadilisha ni buku kumi tu....KAZI KWENU
 
Nokia Lumia 530 ipo sokoni ikiwa katika hali nzuri imetumika miezi miwili 2 tu kwa mawasiliano zaidi 0672964011 au ni PM.....Bei elekezi 150000
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom