Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Wakati tukihangaika na shida ya mafuta jumuiya ya wauza kitimoto nayo yatarajia
kugoma kuuza kitimoto kisa kukosa wateja..wakizungumza kwa masikitiko wamesema
tangu aug1 wamekuwa kwenye hasara na hivyo awawezi kufanya kazi kwa hasara bora
wasubiri waanze sept..mwenyektii wa jumuiya hiyo mzee anael lyimo amesema tunatarajia kuanzia jumatatu
kuanza mgomo mpaka hali itakapotengemaa nanukuu
hata hivyo mgomo huo utahusisha kwa mwezi mmoja tu na kujaribu tena biashara mwezi wa sept
polen wahusika lakini naona hamtotutendea haki kwa hili kabisa kabsa
kugoma kuuza kitimoto kisa kukosa wateja..wakizungumza kwa masikitiko wamesema
tangu aug1 wamekuwa kwenye hasara na hivyo awawezi kufanya kazi kwa hasara bora
wasubiri waanze sept..mwenyektii wa jumuiya hiyo mzee anael lyimo amesema tunatarajia kuanzia jumatatu
kuanza mgomo mpaka hali itakapotengemaa nanukuu
hata hivyo mgomo huo utahusisha kwa mwezi mmoja tu na kujaribu tena biashara mwezi wa sept
polen wahusika lakini naona hamtotutendea haki kwa hili kabisa kabsa