Wauza filamu za ngono kwenye foleni jijini Dar es Salaam

Nitapita na mimi nikanunue moja ya kibongo. Ipi nzuri? Wanaanza kuuza mida gani?

Pole ila ni bahati mbaya.Hiyo cha mtoto ile ya mama kukimbilia kufunika screen ya Tv baada ya kuwekwa kimakosa porn mbele ya wakweze na kanga aliyokuwa ametoka nayo bafuni akabaki uchi hukk nyuma ulishaisikia. Hizo ni ajali zenye kufeshehesha.
 
Hili swala limenitatiza kidogo.

Nimepita maeneo ya ubungo wauza CD wanauza CD za ngono bila wasiwasi. Hili swala katika upande wa maadili lipo sawa kweli? Vipi upande wa sheria?
 
Wanajitafutia riziki! hayo ndiyo maisha bora kwa kila mtanzania na tumefika hapa kwa miujiza ya mungu!
 
Kwa hiyo mtabaki kuwa mnaangalia kwenye simu tu au??? Sitaki kuamin kama waga hamuangalii hiz mambo. Kama mnabisha angalia browser history kwenye simu yako.
Haya mambo yapo tena, yapo sana kwenye jamii zetu. Tuwe makin tu watoto wetu wasiingie kwenye huo mkumbo kwa sababu ni hatari kwa maisha yao ya baadae.
Pornographic is not good, keep out of reach of children.
 
Ukiona mtu anashobokea kuangalia picha za ngono, ujue hana jipya na wala siyo creative! Ngono ni sanaa kama sanaa nyingine na hazina copy and paste. Unachotakiwa utoe kutoka kichwani kwako!
 
Kipaumbele kilikuwa ni Cyber crime sio huu uswenzi wa movies. Wasanii wanaibiwa ila cyber crime bill ndio kipaumbele,nchi ya kipumbavu sana hii.
 
Jana nilikuwa na jamaa zangu naheshimiana nao sana, tunaelekea Kibaha kupitia Morogoro road, kushoto kwangu alikaa mama mtu mzima, ndugu yangu.

Wakati tusubiria foleni iruhusu,wale wamachinga kama kawaida yao, huyu kaja na hiki mara kile.

Balaa lilikuja pale alipokuja muuza CD za filamu mbalimbali na miziki. Nilipo mkatalia, alinionyesha filamu ya ngono! huku akiigiza kuficha watu wasione, lakini yule manam aliiona, kwani niliona attitude yake imebadilika kabisa.

Story zilizokuwa zikiendelea ndani ya gari zilizimika.

Watu waliingiwa kichefu chefu kwa walichokiona.

MAMLAKA HUSIKA HEBU FANYIENI KAZI HILI
.

Kwa lipi?

Uhuru wa kuangalia ngono chumbani kwangu mtaka nao utoke Magogoni?
Shirikisha akili-elimu ya ngono ni haki ya kila mmoja-hivyi unaelewa ndoa zingine na michepuko mingine inatokana na makosa kwa wanandoa kutokuwa wajuvi kwenye sita kwa sita.

Ndiyo maana wabunge wenu wengi wa ndiyooooooooooooooo! hawana uweledi na uelewa na mwisho wanapitisha pitisha vitu au sheria bila kufikiri.


 
Ukiona mtu anashobokea kuangalia picha za ngono, ujue hana jipya na wala siyo creative! Ngono ni sanaa kama sanaa nyingine na hazina copy and paste. Unachotakiwa utoe kutoka kichwani kwako!

Subiri sheria inayohusu masuala hayo isainiwe na raisi tuone kama mtathubutu hata kuyaandika hayo mambo wazi wazi wengi mtaishia lupango. Anzeni kujiepusha nayo kuanzia sasa.
 
Back
Top Bottom