Elections 2010 Waungwana tusaidiane kwa hili juu ya JK !!

urasa

JF-Expert Member
Aug 12, 2010
434
2
japo kwa sasa jk msafara wake wa angani unajumuisha helkopta 3 achilia mbali msafara wa nchi kavu unaotafuna kodi za walala hoi wa kitanzania,nimegundua kitu kimoja kwamba,kwa sasa hakuna mkutano wake wa kampeni ambao anao uwezo wa kutumia dakika kumi kusimama huku akiwahutubia wananchi,mbaya zaidi na nyie mchunguze pia watu wawili sijui ni wapambe au bodyguard lazima wasimame nyuma yake tena karibu sana na yeye,ushaidi wa yote hayo wa hivi karibuni ni mikutano yake ya singida,dodoma na hata jana pemba,ni kwamba hana vitu vya kuwaeleza watz?mbona wenzake wanatumia zaidi ya nusu saa kuongea na wananchi?mfano dr slaa pale iringa mjini,kulikoni waungwana kwa jk haswa kipindi hiki cha lala salama ambako kila mgombea anapaswa kukaza buti?
 
Sasa Urasa, una hoja gani!? Kwamba kwa Dakika 10 mtu hawezi akajieleza vya kutosha? Au kwa sababu kuna watu wawili wamesimama nyuma yake? Au unawashangaa wenzake kina Slaa wanatumia zaidi ya nusu saa? Unaona mada yako haijakaa sawa. MS atakushambulia, unajua atasemaje, JK ni hodari anatoa mada yake kwa lugha rahisi, kw muda mfupi halafu akianza kufananisha - haalafu atumie ile lugha yake utajikuta umejichukia bure!
 
Sasa Urasa, una hoja gani!? Kwamba kwa Dakika 10 mtu hawezi akajieleza vya kutosha? Au kwa sababu kuna watu wawili wamesimama nyuma yake? Au unawashangaa wenzake kina Slaa wanatumia zaidi ya nusu saa? Unaona mada yako haijakaa sabalwa. MS atakushambulia, unajua atasemaje, JK ni hodari anatoa mada yake kwa lugha rahisi, kw muda mfupi halafu akianza kufananisha - haalafu atumie ile lugha yake utajikuta umejichukia bure!

....ni kweli you cannot justify that kwa kusema watu wamekaa nyuma yake....BUT YOU HAVE A POINT AMBAYO BILA KUPEKESHA MANENO NI KUWA JK ANAONEKANA ANA OCHOVU NA MSONGO MKUBWA WA MAWAZO KULIKO WAGOMBEA WENZAKE..uchahidi wa msongo wa mawazo ni macho na uso wake.....kwa wanaojuwa psychology ...wanaweza kusoma facial and eye expression ya JK.
uchahidi wa uchovu upo kwenye verbal and voice ambayo its too fryl....yaani haongei kwa nuru na sauti ya kupasa kwa vikao vya nje......kama zamani....bali sasa hivi anaongea kama vile anaongea kwenye mazungumzo ya kawaida.....simply anaongea kinyonge japo si mnyonge kiuwezo....inaelekea ni mnyonge kimwili......NI DHAHIRI INABIDI AFUATE USHAURI WA MADAKTARI....au la daktari wake anaweza akajiuzulu....kwa sababu next time watanzania hawatanunua maneno kuwa anashauriwa anakaidi........
 
....ni kweli you cannot justify that kwa kusema watu wamekaa nyuma yake....BUT YOU HAVE A POINT AMBAYO BILA KUPEKESHA MANENO NI KUWA JK ANAONEKANA ANA OCHOVU NA MSONGO MKUBWA WA MAWAZO KULIKO WAGOMBEA WENZAKE..uchahidi wa msongo wa mawazo ni macho na uso wake.....kwa wanaojuwa psychology ...wanaweza kusoma facial and eye expression ya JK.
uchahidi wa uchovu upo kwenye verbal and voice ambayo its too fryl....yaani haongei kwa nuru na sauti ya kupasa kwa vikao vya nje......kama zamani....bali sasa hivi anaongea kama vile anaongea kwenye mazungumzo ya kawaida.....simply anaongea kinyonge japo si mnyonge kiuwezo....inaelekea ni mnyonge kimwili......NI DHAHIRI INABIDI AFUATE USHAURI WA MADAKTARI....au la daktari wake anaweza akajiuzulu....kwa sababu next time watanzania hawatanunua maneno kuwa anashauriwa anakaidi........

Nikweli raisi wetu tusingependa yampate matatizo! madaktari tafadhali kuweni makini!
 
japo kwa sasa jk msafara wake wa angani unajumuisha helkopta 3 achilia mbali msafara wa nchi kavu unaotafuna kodi za walala hoi wa kitanzania,nimegundua kitu kimoja kwamba,kwa sasa hakuna mkutano wake wa kampeni ambao anao uwezo wa kutumia dakika kumi kusimama huku akiwahutubia wananchi,mbaya zaidi na nyie mchunguze pia watu wawili sijui ni wapambe au bodyguard lazima wasimame nyuma yake tena karibu sana na yeye,ushaidi wa yote hayo wa hivi karibuni ni mikutano yake ya singida,dodoma na hata jana pemba,ni kwamba hana vitu vya kuwaeleza watz?mbona wenzake wanatumia zaidi ya nusu saa kuongea na wananchi?mfano dr slaa pale iringa mjini,kulikoni waungwana kwa jk haswa kipindi hiki cha lala salama ambako kila mgombea anapaswa kukaza buti?

Maeneo anayotakiwa kutembelea ni mengi ukilinganisha na muda uliobaki kufika siku ya mwisho wa kampeni ni mdogo
 
Hivi pale Ikulu pana nini?

Utajiri wa haraka haraka kwa rais, ndugu zake, marafiki wake wa karibu na yeyote mwenye mahusiano yawe halali au yasiyo halali na ama rais au mke wake.
 
Huitaji kuwa mganga kujua JK amechoka sauti yake tuu not powerful kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Unaona kabisa kuwa anajilazimisha
 
japo kwa sasa jk msafara wake wa angani unajumuisha helkopta 3 achilia mbali msafara wa nchi kavu unaotafuna kodi za walala hoi wa kitanzania,nimegundua kitu kimoja kwamba,kwa sasa hakuna mkutano wake wa kampeni ambao anao uwezo wa kutumia dakika kumi kusimama huku akiwahutubia wananchi,mbaya zaidi na nyie mchunguze pia watu wawili sijui ni wapambe au bodyguard lazima wasimame nyuma yake tena karibu sana na yeye,ushaidi wa yote hayo wa hivi karibuni ni mikutano yake ya singida,dodoma na hata jana pemba,ni kwamba hana vitu vya kuwaeleza watz?mbona wenzake wanatumia zaidi ya nusu saa kuongea na wananchi?mfano dr slaa pale iringa mjini,kulikoni waungwana kwa jk haswa kipindi hiki cha lala salama ambako kila mgombea anapaswa kukaza buti?

Kuishiwa ahadi, nguvu na afya bora! hapo mweleka mwingine huko njiani!!
 
Anyway sioni hasa point iliyozama hapa labda huo uchovu ambao ni kawaida kwa kila binadamu hasa ukiwa katika mazingira kama hayo ya kuruka kila kukicha.

Ila andikeni hii pahala pazuri ili siku ikifika mnikumbushe. Ukiongea maneno haya sema kwa sauti ya kunong'ona - "tutafanya uchaguzi mdogo wa raisi kabla ya 2015"
 
Sasa Urasa, una hoja gani!? Kwamba kwa Dakika 10 mtu hawezi akajieleza vya kutosha? Au kwa sababu kuna watu wawili wamesimama nyuma yake? Au unawashangaa wenzake kina Slaa wanatumia zaidi ya nusu saa? Unaona mada yako haijakaa sawa. MS atakushambulia, unajua atasemaje, JK ni hodari anatoa mada yake kwa lugha rahisi, kw muda mfupi halafu akianza kufananisha - haalafu atumie ile lugha yake utajikuta umejichukia bure!

hodari wa kuanguka au?
 
Back
Top Bottom