japo kwa sasa jk msafara wake wa angani unajumuisha helkopta 3 achilia mbali msafara wa nchi kavu unaotafuna kodi za walala hoi wa kitanzania,nimegundua kitu kimoja kwamba,kwa sasa hakuna mkutano wake wa kampeni ambao anao uwezo wa kutumia dakika kumi kusimama huku akiwahutubia wananchi,mbaya zaidi na nyie mchunguze pia watu wawili sijui ni wapambe au bodyguard lazima wasimame nyuma yake tena karibu sana na yeye,ushaidi wa yote hayo wa hivi karibuni ni mikutano yake ya singida,dodoma na hata jana pemba,ni kwamba hana vitu vya kuwaeleza watz?mbona wenzake wanatumia zaidi ya nusu saa kuongea na wananchi?mfano dr slaa pale iringa mjini,kulikoni waungwana kwa jk haswa kipindi hiki cha lala salama ambako kila mgombea anapaswa kukaza buti?