the big header
Member
- May 8, 2012
- 13
- 5
waungwana... kulipia huduma ya internet ktk bb kwa sisi wengine ni mtihan so kama kuna muungwana anaejua jins ya kuifanya itumie internet km cmu nyingine nielekezen..
waungwana... kulipia huduma ya internet ktk bb kwa sisi wengine ni mtihan so kama kuna muungwana anaejua jins ya kuifanya itumie internet km cmu nyingine nielekezen..
waungwana... kulipia huduma ya internet ktk bb kwa sisi wengine ni mtihan so kama kuna muungwana anaejua jins ya kuifanya itumie internet km cmu nyingine nielekezen..
Hahahaa daah hapo utasubiri saana mkuu hamnaga other ways RIM hapo kazi walioifanya hakuna anayeingiza mguu
Acheni kutisha wenzenu mimi natumia 2500 kwa mwezi
blackberry 9300
umewezaje mkuu? nipe maujuziAcheni kutisha wenzenu mimi natumia 2500 kwa mwezi
blackberry 9300
jamaa anabisha tuu ila 2500 hapo ni browsing tuu na some app ila upande wa BBM hakuna mtu ameweza hack narudia msemo wangu wa kwanza:wacko:Acheni kutisha wenzenu mimi natumia 2500 kwa mwezi
blackberry 9300