ningependa kujua sheria hii ya binadamu kugonga treni na kuilipa ipo dunia nzima? Ukweli inasikitisha sana maiti inapozuiwa kulipa kwanza ghalama za kugongwa kwa treni ndipo waruhusiwe kuzika. Ubinadamu upo wapi katika hili?
Tafadhali ndugu, ajali hii imetokea wapi, lini, na marehemu ni nani. **** sehemu umeishajibu ni nani marehemu kwa hiyo hilo najua limejibiwa. Tafadhali nipe taarifa inayopungua!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.