DMussa
JF-Expert Member
- Sep 24, 2007
- 1,310
- 296
Hakuna kitu hpa PM alikua SOKOINE basi!
Kamtafute kuzimu...
Hakuna kitu hpa PM alikua SOKOINE basi!
Mh. PINDA yupo sahihi kabisa: WATUHUMIWA KARIBU WOTE WA UFISADI NA UBADHIRIFU WA UMMA NI WAUMINI WA KANISA. NA WAMETOA MCHANGO MKUBWA KULIFIKISHA KANISA HAPO LILIPO. NDIO MAANA TUKAONA JINSI WALIVYOWAPOKEA BAADHI YA MAFISADI (EL) KISHUJAA(mou).
Mkakati uliopo sasa ni kujisafisha - au kwa lugha nyepesi KUHAMISHA UFISADI KUTOKA CCM - CDM. NI AIBU YA KARNE. Pinda kawatolea uvivu. Anayemponda Pinda naye FISADI muathirika.
Ndo maana DR alisema ni system kuibadili nimeamini aiseee!Nashangaa kwanini watu wana badili maana,uadilifu si kwa viongozi tu hata sisi tunaongozwa yatupasa kuwa waadilifu na kumuogopa Mungu katika yote tunayofanya!
tunawaangalia sana viongozi which is ok,lakini pia matendo yetu sisi yakoje????:hand::hand::rain:
FISADI NO 1 RA NI muislam anayetoa misaada mikubwa misikitini huyu hujamwona we boya kweli
Kamtafute kuzimu...
ukipanda bangi usitegemee kuvuna mchicha
so far kwa maneno yaliyoandikwa hapo juu Mh Pinda is quite right..................