FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,373
Mi naona solution ni kuishi maisha ya kizamani yale ambayo yanasema baba ndo kichwa cha familia hivyo basi kama hajarizika na mama ruksa kuongeza mama wa pili yaani mama mdogo haya ndo yalikuwa maisha ya ndoa za kiukweli haya siku hizi mnayo sema eti nyumba iwa na usawa ni kuiga tamaduni ngeni za kizungu ambapo sisi ni weusi kabisa.
Ebu leo hii katafute bibi na bwana harusi watarajiwa waulize KWA NINI UNAOA AU KUOLEWA?.
Hapa mi naona ndoa ziwe banned tuu,hakuna la ziada,kilichobaki hamna kutokea mademu,mapenzi yawe kama bidhaa nyingine tuu,lihalalishwe soko tuwetunajisevia once tunapopata hitaji,hii itasaidia hata kuepusha vifo vya ghafla,sababu vingi huletwa na mawazo,na kitu chochote kinachohusisha hisia huleta mawazo,mabinti wengi sana hujisikia fahari once wanapoolewa na kusahau kilichowaweka kwenye ndoa,hivyo solution ni kwamba kusiwe na kutongozana,na hii itapunguza gharama zisizo za muhimu,kama kupotezea muda watu kwaajili ya vikao vya ndoa ambayo italeta gharika baada ya miezi michache kufungwa!!"let it be a commodity,and if possible a cheapest one!!!"Hivi huwa tunapata waume na wake zetu ambao kweli ni sehemu ya mbavu zetu na nyama zetu? Nauliza hivi kutokana na mikasa iliyopo kwenye ndoa kama vile kudundana/kupigana; kuvunjika kwa ndoa; kutoka nje ya ndoa; kukosa uvumilivu; kukosa subira; kukosekana kwa heshima ndani ya ndoa n.k.
Nini kifanyike?
Caroline hapa umeandika ukweli mtupu kwani nina mfano hai kuhusu hili, mimi nina rafiki yangu wa kike aliyesoma Sociology lakini yeye anakwambia piga ua lazima aolewe na mwanaume aliyesoma Accounts. Sasa hapa ndio najiuliza kweli hapa kutakuwepo ndoa kwasababu hata ukimuomba Mungu tayari wewe umeshaweka chaguo lako mbele iwe isiwe. Na kiimani inasemekana kuwa ukilazimisha kitu kitokee kitatokea lakini hakitokuwa chenye baraka na amani.Ebu leo hii katafute bibi na bwana harusi watarajiwa waulize KWA NINI UNAOA AU KUOLEWA? nafikiri hakuna jibu utapata zaidi ya utumbo.
We are business oriented in marriage, mkeo anafanya kazi UN au mume ana biashara kubwa basi lazima tukandamizane tunafiti. Hivi kweli hela ni udumisho au suluhisho la ndoa?
Ndiyo hayo madhara yanatukumba, upendo ni ule unaotoka moyoni siyo kwa kuangalia gari, nyumba, bishara, kazi au familia. Tumtangulize Mungu kwa yote, tunahitaji maombi ili tuweze kufikia standard GOOD MARRIAGE.
PRAYERS is an answer.
Niliwahi kuongea na Dokta mmoja akaniambia kuwa wanaume wengi wenye wake na wapenzi wanapoteza maisha pale mahusiano yao yanapokuwa sio conducive kuliko wanaume. NA akaongeza kuwa wanaoathirika kisaikolojia zaidi na mateso ya ndoa na mapenzi ni wanaume kuliko wanawake. Hapa alitolea mfano wa FUMANIZI kuwa mwanume anaumia zaidi anapomfumania mke kulikoHapa mi naona ndoa ziwe banned tuu,hakuna la ziada,kilichobaki hamna kutokea mademu,mapenzi yawe kama bidhaa nyingine tuu,lihalalishwe soko tuwetunajisevia once tunapopata hitaji,hii itasaidia hata kuepusha vifo vya ghafla,sababu vingi huletwa na mawazo,na kitu chochote kinachohusisha hisia huleta mawazo,mabinti wengi sana hujisikia fahari once wanapoolewa na kusahau kilichowaweka kwenye ndoa,hivyo solution ni kwamba kusiwe na kutongozana,na hii itapunguza gharama zisizo za muhimu,kama kupotezea muda watu kwaajili ya vikao vya ndoa ambayo italeta gharika baada ya miezi michache kufungwa!!"let it be a commodity,and if possible a cheapest one!!!"
Ni kweli kuna hili tatizo pia la kuchagua mke/mume kutokana na influence ya marafiki na ndugu kwa upande mmoja. Wanawake kwa Wanaume wamekuwa na kasumba ya kutegemea assesment kutoka kwa rafiki zao kama huyu mchumba anafaa kuwa mke au mume. Unajua effect yake ni nini mtazamo wangu mimi au mtu ninayempenda mimi sio unayempenda mimi kwahiyo ni vigumu ku-reccommend kuwa anakufaa au hakufai, the end result ndio hiyo kugombana, kunyimana unyumba, kutukanana na kufukuzana kila kuchapoMatamanio zaidi kwa upande wa wanaume, amekutana na mwanamke kwa sababu ana bboty la kutosha au hips au ana miguu mizuri bila hata kuangalia/ kuchunguza tabia za mwenzi wake baada ya mwezi utasikia mtu anaoa, ukimuuliza mbona ghafla utasikia demu mwenyewe si umemuona katimia idara zote sasa nasubiria nini. Ndoa kama hizi huwa chungu sana huko mbeleni coz hujamjua mwanamke vizuri wewe umeingia kichwa kichwa tuu baadaye tabia halisi za mwanamke zikianza kuonekana basi ugomvi kila siku.
Na hili ndilo alilolifanya Mrs Mtaba, sasa jaribu kuangalia effect yake kwenye ndoa pale unapofanya malipizi. Ni tatizo kubwa kwani hata SAMAHANI NA NIMEKUSAMEHE yakipita lakini siku hizi ni zaidi ya bure nothing is going to change so farNi wewe kweli Fidel unaongea haya na yanatoka moyoni?Na unaposema hakutoshi,kwani toka mwanzo hukumchunguza uone kama atakutosha au laa.Na ukimwambia unataka uongeze mwingine anakukubalia au unatumia mabavu.Na what if akikuambia na wewe humtoshi na yeye anataka aongeze mwingine?Shaurilo mpwa,utamaliza mabucha na nyama ni ileile tatizo ni mapishi tu.
Hata mimi mtoa mada sijaoa ila umri unanielekeza uko sasa ninatilia shaka sana haya yanayoitwa maisha ya ndoa kwani naona watu wakilia na kuomboleza kwaajili ya hili tendo. Jaribu tu kufanya tathimini hapa hapa JF ni watu wangapi wamelia kwaajili ya ndoa zao na wengine kujuta kwanini walienda umo ndani. Ogopa sana neno NINGELIJUA ni baya sana hasa kwa maisha ya ndoa. Hivi unapomuona dada yangu MJ1 akibubujikwa na chozi unajisikiaje? Unapomuona Striker Geoff anaomboleza kwaajili ya ndoa unapata picha gani? Na wengine wengi sasa we need to learn na kumuomba MUNGU atupe mke/mume kutoka kwake kama ambavyo imeandikwa katika kitabu kitakatifu kwenye kitabu cha Methali.nimeipenda hii thread maana inalenga kabisa maisha ya ndoa ya sasa, ingawa mie bado sijaingia huko lakini naona na kuyasikia kuhusu ndoa za sasa mkuu
hizi ndoa za hivi ziko sana hasa kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nenda UDSM, Tumaini, SUA, SAUT, Ruaha, UDOM, n.k4.watoto wadogo wameanza nao kuoa na kuolewa mfano ni ngumu sana kwa kijana wa miaka 21 anamwoa msichana wa miaka 18 hii ni hatari sana kwan watu wote hawa hawajamaliza KUONA
HAYA NI MAONI YANGU
Hivi huwa tunapata waume na wake zetu ambao kweli ni sehemu ya mbavu zetu na nyama zetu? Nauliza hivi kutokana na mikasa iliyopo kwenye ndoa kama vile kudundana/kupigana; kuvunjika kwa ndoa; kutoka nje ya ndoa; kukosa uvumilivu; kukosa subira; kukosekana kwa heshima ndani ya ndoa n.k.
Nini kifanyike?
Ni maneno yenye hekima kubwa sana nafikiri kama wote wangekuwa wanatekeleza haya basi tungekuwa tunaishi mahali penye usalama wa mwili, akili na roho pia....bandika ukutani kwako maneno haya, na ikiwezekana uyatamke mara tatu kwa siku;
' usimfanyie mwenzio yale usopenda kufanyiwa!'
MJ1 sio kuutunza bali kutunzana! Hakuna mmoja kwenye ndoa ambaye ndie ana jukumu la kumtunza mwingie tu. Kila mwanandoa anawajibika kumtunza mwingine kisaikolojia, kimwili, kiakili, kimahitaji n.kSipo ndoa si rahisi kama unavyohisi. Ndoa si suala la kuupata ubavu wako tu bali na nyiwe kuwork hard kuhakikisha huo ubavu unafit kila siku. Kwa sababu unaweza kuupata ubavu wako na nyama yako kisawa sawa but ukizembea kuutunza tu basi huchakaa.
Marriage is a working out through out. It has to be natured