jamani hivi hawa wauguzi ni kweli hawakusababisha kile kiganja cha mototo mchanga kuoza wakati mama aliwaita mtoto alipozidiwa na hawakukwenda kumsaidia badala yake siku iliyofuata walimuongezea dozi, hivi tutakoma lini kuuliwa au kupata ulemavi kutokana na wauguzi wa aina hii?