Watanzania waliopo nje ya nchi watapataje vitambulisho vya Taifa?

Michewen

JF-Expert Member
Jun 27, 2012
24,560
32,197
Wadau naomba niulize hivi waTanzania walio nje ya Tanzania wakati zoezi hili linaendelea kujiandiskisha watapataje vitambulisho vya Taifa hakuna taratibu zozote za kushikirikiana na balozi zetu kufanyika zoezi hili huku huku ughaibuni? au ndo lazima mtu arudi Tanzania ili kupata kitambulisho?
 
Joshua unauliza raia wa TZ waliopo nje wakati sisi wa ndani bado ni chaos tu. anyway nionavyo maadam kuhusu watu wa nje linahusisha safari (per diem) hapo lazima NIDA wachangamkie tena wanaweza hata kuacha kushughulikia hizi ID za watu wa humu ndani kwanza!! hii dili ya vitambulisho ni mchongo wa kula pesa mkuu tena Masha alilipigia timing siku nyingi sana sema wananchi wa Ilemela wakampotezea JUMLA
 
Niliwahi kusikia kwamba watatangaziwa na Balozi husika kuhusu lini zoezi hili litaanza rasmi katika nchi mbali mbali duniani ambazo Tanzania ina mabalozi wake.
 
Kitambulisho cha Taifa kuwa na tarehe ya mwisho wa matumizi, je inamaana baada ya hapo utaifa utabadilika au? Kutokuwa na sahihi, maana yake ni nini? Nisaidieni
1457432608465.jpg
 
kwahiyo itawasaidia nini? watashikwa tanganyika jeki hadi nje ya geti. Mwajiri kasema hana pesa za kuwalipa wao wanachogomea nini?
hebu nambie kidogo sheria za ajira zinasemaje? ujuwe wengine ni mke mume wapo pamoja wanafafanya kazi ofisi moja sasa kufutwa kazi hivyo ni hatari sana je hawawezi kuiburuza serikali mahakamani?
 
Sheria ya Kazi Sura 366. Sect. 37(c) termination in accordance with fair procedure, sect 38 (c) consult prior to retrenchment or redundancy, sect. 40 provide for payment of compensation of 12 months salary in case of unfair termination. Period.
 
hebu nambie kidogo sheria za ajira zinasemaje? ujuwe wengine ni mke mume wapo pamoja wanafafanya kazi ofisi moja sasa kufutwa kazi hivyo ni hatari sana je hawawezi kuiburuza serikali mahakamani?
Hao waliopunguzwa walikuwa ni wafanyakazi wa muda (Temporary) sidhani Kama sheria Inawalinda sana. Maana muda wowote muajiri anapoona hakuhitaji anakuachisha kazi. Walisaini mikataba wakijua hivyo na muajiri amechukua hatua hiyo akifuata taratibu za mikataba husika.
 
Sheria ya Kazi Sura 366. Sect. 37(c) termination in accordance with fair procedure, sect 38 (c) consult prior to retrenchment or redundancy, sect. 40 provide for payment of compensation of 12 months salary in case of unfair termination. Period.
Hii ni kwa ajili ya wajiriwa na sio temporary employee.
 
Kwenye kitambulisho chako NIDA walichofanikiwa ni kutuwekea umri wako kwa umakini mkubwa sana. Ulizaliwa tarehe 30.06.1987
 
Back
Top Bottom