Watz tumelipa milion 180 alizotafuna mama Mongela Bunge la Afrika

Sinyolita,

..mwandishi alipaswa kumkumbusha Membe jinsi alivyomsakama Dr.Kitine, halafu ndiyo amuulize kuhusu masuala ya Mama Mongella.

..that way mwandishi angemnyima Membe nafasi ya kuleta unafiki na kauli za hovyo hovyo.

..waandishi wetu nao wana matatizo sana jinsi wanavyofanya hizi interviews. inaelekea hawafanyi research ya aina yoyote ile wakati wanaandaa maswali.

Mkuu Joka Kuu.....Membe yule aliyekuwa Canada kama mpiganaji mkereketwa sio huyu Membe Foreign Minister.......Amebadilika kabisa.....sasa amekuwa na kiburi na kuona wananchi wa kawaida hawana maana kwake......amejipa grade ambalo anamuona kila mtu kama si kitu kwake!

Ipo siku tu Historia itawasuta!.....Hii case ya Mama Mongella itabidi aijibu vizuri....kwa sababu Dr.Slaa ana vidokezo vyote,na amesema atakula sahani moja na Membe mpaka kieleweke,si uungwana kuchota 180/million za taxpayers na kumlipia deni huyu Mama,ni bora pesa hizo zingepelekwa kwa Wahanga wa Mabomu Mbagala.
 
Mkuu Joka Kuu.....Membe yule aliyekuwa Canada kama mpiganaji mkereketwa sio huyu Membe Foreign Minister.......Amebadilika kabisa.....sasa amekuwa na kiburi na kuona wananchi wa kawaida hawana maana kwake......amejipa grade ambalo anamuona kila mtu kama si kitu kwake!

Ipo siku tu Historia itawasuta!.....Hii case ya Mama Mongella itabidi aijibu vizuri....kwa sababu Dr.Slaa ana vidokezo vyote,na amesema atakula sahani moja na Membe mpaka kieleweke,si uungwana kuchota 180/million za taxpayers na kumlipia deni huyu Mama,ni bora pesa hizo zingepelekwa kwa Wahanga wa Mabomu Mbagala.
Arrogance kama kawaida baada ya kuwa bwana mkubwa!! Lakini kubwa nimeipenda sentensi yako ya kutukumbusha kuwa historia inayaandika yote tunayofanya na ipo siku itakuja kutusuta kama tukiwa vigeugeu.Kama bado anataka madaraka, anahitaji kuwa karibu na watu mana wasipokmtaka atakuwa hana jinsi.
 
180M inajenga dispensary 3 zilizokamilika na vifaa, au dispensary mbili na nyumba ya muuguzi in each dispensary.
Katika mazingira ya kijijini, kama hela haijafanyiwa ufisadi, sh 25 inamaliza a decent dispensary...jamani, yani jengo la vyumba vinne tu, chumba cha Dr, sindano na madawa, stoo na ward ndogo ya wazazi tu! ukiweka vifaa havizidi 25M, jumla 50M na shida ya mama zetu kujifungua kushney!!

sio siri....mawaziri hawa watalaaniwa.......haki ya watanzania tena naapa.
 
Mie nilitembelea mbeya mwaka jana ktk kupitia sekta ya afya nilikuta kutuo kimoja cha afya kimefungwa siku tatu eti mhudumu alifuatilia mshahara mbeya mjini.mhudumu mwenyewe analipwa 80,000 halafu anatumia 40,000 kama nauli kwenda chunya kila mwezi kufuatilia mshahara. Usafiri anaotumia ni malori ya viazi. Chakushangaza, vituo vya afya chunya havina maji wala umeme.wamama wajawazito wanatakiwa kuwa na vidoo vya maji wanavyokuja kujifungua. Nhudumu hana hata kemikali za kutesti uti wala maleria. Kweli m 180 ni kidogo mno ..tafuna mama mongela.
 
Back
Top Bottom