rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
koba umeongea point sana'hizi kelele ulizoziona hapa ni watanzania waliochoshwa na hao hao partiners'ni ngumu sana kuwa pamoja na kuwakubali asilimia zote ndani ya jamii yetu'lakini hakuna jinsi kwa sababu hata mimi binafsi siwapendi kwa tabia zao tu'tutajitahidi kubadilika mkuu