Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,235
Mjifunze kkwanza kupendana nyie wenyewe huko kenya kwenu.FYI ....Tanzania ya sasa sio ya jana.subiri uone maajabu kutoka tanzania...
Hivi nani analalama hapa? Are listening to yourself?wewe ndugu ngoja niseme,Zimbabwean na Kenyan ndio watu pekee wenye best skill sub saharan,hiyo ujue ndio maana mnalalamika lakini hiyo ndiyo kweli
Duuhhh..!!!!:A S 13::A S 13::A S 13:.. Kama si chizi, basi Utakuwa na matatizo fulani. Huyo aliyekwambia kwamba wanawake wote wa ki-TZ ni makahaba atakuwa amekudanganya. Ni mwanamke gani na heshima zake ambaye hata hakufahamu utamu-approach kwa gia kubwa kisha utegemee kumpata kwa siku hiyo hiyo? Tena hata kusubiri mpaka kujua kwamba wewe ni mkenya atakuwa amekustahi sana.:A S-coffee:
Wee kenyata chizi nini! kati yetu na nyie nani anaweza kusocialize? Halfu tungekuwa na aibu tungewezaje kukataa protocol uchwara ya ulinzi waziwazi mbele yenu? Unasema tunajifanya tuna roho nzuri; Sie tuna roho nzuri kweli sio kama nyie na mademu zenu mna roho mbaya na sura mbaya vilevile.nyie watz inaonekana hamuwezi kufanya socialize na watu kutoka nchi zingine,mna aibu sana,halafu mnapenda sana kujiona nyie mko na roho nzuri,lakini umaskini wenu wa akili utawaletea umaskini sana
Anatutishia chingredha, chenyewe hata sijakiona hapo ....lolMjifunze kkwanza kupendana nyie wenyewe huko kenya kwenu.FYI ....Tanzania ya sasa sio ya jana.subiri uone maajabu kutoka tanzania...
mimi nilishangaa sana demu kunikimbia kwa sababu niliongea neno moja kwa english,mbona mnakuwa wakali,kubalini nyie uwezo wenu ni kadogo sana kulinganisha na wetu
Mie siwapendi kabisaaa!!! kama wewe unawapenda basi huwajui vizuri.Wakenya mi nawapenda saana ila tatizo lao ni moja tu la kutaka kujifanya wapo juu kuliko wengine, na kama wewe ndugu umefuta japo ujinga tu usingeweza kuandika vitu kama hvyo humu, it might be true what you a saying about as but we are the best in East Africa Sir. pia hamjabahatika kuwa na sura nzuri kiukweli hlo kubali kama muungwana, I have a friend of mine Kenyani she so agry lakini anajiona kama Ray-C, nyie mnatuweza kwa mbio tu na si vinginevyo ndugu.
kenyata ni mmoja wa majuha wasiojuwa kwamba Uingereza hata mtoto wa chekechea anaongea kiingereza! Ukoloni wa kimawazo ni ugonjwa wa akili....Kujua kiingereza haimaanishi una akili...
Kwanini nyie msikaribishe wahamiaji ili wawasaidie kuijenga kenya kama Marekani?nyie mnatakiwa kujua america was built by immigrants,stop undermine kenyan,tutawasaidia sana nyie
Wewe nyang'au mkubwa usiye na haya nenda kawasaidie ndugu zako wa Mathare na Kibera kwanza!nyie mnatakiwa kujua america was built by immigrants,stop undermine kenyan,tutawasaidia sana nyie
acheni ubaguzi,nilikuwa tz last week watanzania wengi wanaonyesha hawatupendi wakenya,lakini wakenya wanasaidia kazi za kitaalam tanzania ambazo watz hawaziwezi kutokana na low eduction
tupendane dunia imebadilika sana
nashangaa sana nilikutana na demu mmoja nikajaribu kuongea naye alivyojua mimi mkenya aliondoka ghafla,inaonekana watz wengi ni wajinga sana na hawajasoma,lets change guys
na bado, wewe endelea tu na majibu yanayokufaa utayapata!rafiki yangu mtz kanionyesha hii site,lakini sijapenda member wake wanavyojibu hoja hapa,sioni kama naweza jifunza kitu hapa zaidi ya chuki,shame on u
una hakika hakuweza kukujibu ama alionaa mapungufu yako mengine.Je ukienda uchina pia unatongoza kwa kiswahili?mimi nilishangaa sana demu kunikimbia kwa sababu niliongea neno moja kwa english,mbona mnakuwa wakali,kubalini nyie uwezo wenu ni kadogo sana kulinganisha na wetu
Na yy akiona vi post vyako uchwara na urafiki utakufa...rafiki yangu mtz kanionyesha hii site,lakini sijapenda member wake wanavyojibu hoja hapa,sioni kama naweza jifunza kitu hapa zaidi ya chuki,shame on u
najua hamtupendi but we are here to stay,mbona serikali yenu inatupenda,twafanya kazi twalipa tax,serikali yenu yawajua nyie wavivu sana
Kama waTz hawawapendi huyo alipata wapi muda wa kukuonesha site hii?rafiki yangu mtz kanionyesha hii site,lakini sijapenda member wake wanavyojibu hoja hapa,sioni kama naweza jifunza kitu hapa zaidi ya chuki,shame on u
rafiki yangu mtz kanionyesha hii site,lakini sijapenda member wake wanavyojibu hoja hapa,sioni kama naweza jifunza kitu hapa zaidi ya chuki,shame on u