Wakuu jana nikiwa safarini kuja Dar nilishangazwa na ubabe wa watumishi wa umma!
Pale Mikumi Morogoro kuna bonge la Hotel ya Veta iliyo umbali kama mt10 toka barabara kuu ya Tanzam.Tuliingia pale ili kula na kunywa kisha tuendelee na safari,ilikuwa yapata saa 3 usiku.Wakati tunatoka,tukiwa ndani ya landcruiser mkonga nyeupe yenye namba zinazoanza na DFP---.Dereva wetu aliingia barabara kuu kwa spidi kubwa sana na nusura agongane na gari dogo Toyota cardina.
Kilichofuata pale cardina lilienda mbele na kufunga barabara kisha akashuka jamaa mmoja na kuanza kumtukana dereva wetu matusi ya kila aina,******,unafirwa na zaidi ya hayo!
Kwa mujibu wa sheria za barabara,dereva wetu kweli alikuwa na makosa na kwa kujua hilo alijitahidi kuomba msamaha kwa kurudiarudia lakini yule jamaa ndo kwanza anatukana.
Mara dereva wetu akawasha gari na kuendesha kwa speed akalipita lile cardina nae akapaki na kuziba njia na akashuka akitamba:"HILI GARI NI LA SERIKALI! UTASHINDANA NA SERIKALI! HAYA HEBU FANYA UNALOTAKA KUFANYA" dereva wetu aliyasema hayo huku akimsogelea kutaka kumpiga.
Huyu jamaa nae kwa kuona hivyo,akaanza "USINIBABAISHE! HATA MIE NI WA SERIKALI,MIMI NI POLISI! NAITWA AFANDE JOEL WA KITUO CHA MIKUMI KAMA HUAMINI ULIZA HAWA WATU WOTE WANANIJUA!(washuhudiaji).NITAKUWEKA NDANI SASA HIVI ****** MKUBWA! KWANZA UNAENDESHA UMELEWA! TANGULIA KITUONI!!"
Basi ikawa vurugu tupu kila mmoja akitamba yeye ni wa SERIKALI.Tuliokuwemo kwenye cruiser tukashuka kuamulia hata walokuwemo kwenye cardina wakashuka kuamulia.
Mimi najiuliza,kumbe ukiajiriwa na Serikali hata ukitenda kosa serikali ni ngao yako! Maana kila mmoja serikali,serikali.Nikasema kumbe ndo maana yule mbunge wa Morogoro alimchapa makofi yule mkata maji kisa yeye mkubwa serikalini! Tena nikamkumbuka marehemu Ditto aliua kwa shida za barabarani kisa yeye ni mkubwa serikalini!!
Inashangaza.Kuanzia leo natafuta ajira serikalini ila mimi sitafanya kama wanavyofanya hawa.Kwani niliwaona wote wamekosa uadilifu hasa yule AFANDE JOEL WA MIKUMI POLICE STATION.
Pale Mikumi Morogoro kuna bonge la Hotel ya Veta iliyo umbali kama mt10 toka barabara kuu ya Tanzam.Tuliingia pale ili kula na kunywa kisha tuendelee na safari,ilikuwa yapata saa 3 usiku.Wakati tunatoka,tukiwa ndani ya landcruiser mkonga nyeupe yenye namba zinazoanza na DFP---.Dereva wetu aliingia barabara kuu kwa spidi kubwa sana na nusura agongane na gari dogo Toyota cardina.
Kilichofuata pale cardina lilienda mbele na kufunga barabara kisha akashuka jamaa mmoja na kuanza kumtukana dereva wetu matusi ya kila aina,******,unafirwa na zaidi ya hayo!
Kwa mujibu wa sheria za barabara,dereva wetu kweli alikuwa na makosa na kwa kujua hilo alijitahidi kuomba msamaha kwa kurudiarudia lakini yule jamaa ndo kwanza anatukana.
Mara dereva wetu akawasha gari na kuendesha kwa speed akalipita lile cardina nae akapaki na kuziba njia na akashuka akitamba:"HILI GARI NI LA SERIKALI! UTASHINDANA NA SERIKALI! HAYA HEBU FANYA UNALOTAKA KUFANYA" dereva wetu aliyasema hayo huku akimsogelea kutaka kumpiga.
Huyu jamaa nae kwa kuona hivyo,akaanza "USINIBABAISHE! HATA MIE NI WA SERIKALI,MIMI NI POLISI! NAITWA AFANDE JOEL WA KITUO CHA MIKUMI KAMA HUAMINI ULIZA HAWA WATU WOTE WANANIJUA!(washuhudiaji).NITAKUWEKA NDANI SASA HIVI ****** MKUBWA! KWANZA UNAENDESHA UMELEWA! TANGULIA KITUONI!!"
Basi ikawa vurugu tupu kila mmoja akitamba yeye ni wa SERIKALI.Tuliokuwemo kwenye cruiser tukashuka kuamulia hata walokuwemo kwenye cardina wakashuka kuamulia.
Mimi najiuliza,kumbe ukiajiriwa na Serikali hata ukitenda kosa serikali ni ngao yako! Maana kila mmoja serikali,serikali.Nikasema kumbe ndo maana yule mbunge wa Morogoro alimchapa makofi yule mkata maji kisa yeye mkubwa serikalini! Tena nikamkumbuka marehemu Ditto aliua kwa shida za barabarani kisa yeye ni mkubwa serikalini!!
Inashangaza.Kuanzia leo natafuta ajira serikalini ila mimi sitafanya kama wanavyofanya hawa.Kwani niliwaona wote wamekosa uadilifu hasa yule AFANDE JOEL WA MIKUMI POLICE STATION.