Kassim Awadh
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 884
- 187
Watu wanne wakiwemo watuhumiwa watatu wa kosa la mauaji wametoroka kutoka mahabusu ya Polisi kituo cha Mbeya mjini (central) baada ya kuchimba,kutoboa tundu katika mahabusu walimokuwamo. Watuhumiwa hao waliumwagia ukuta maji kisha kuutoboa kwa kutumia vipande vya nondo. Rpc Advocate Nyombi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Hawa walipata wapi vifaa hivi ikiwa mtu huingii mahabusu mpaka umepekuliwa na kutolewa "vitu vya hatari"?
Hawa walipata wapi vifaa hivi ikiwa mtu huingii mahabusu mpaka umepekuliwa na kutolewa "vitu vya hatari"?