Tumsifu Samwel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2007
- 1,407
- 159
Hakuna starehe kama kukaa uchi,mimi nikiwa home huwa napenda sana kukaa uchi ila kutokana na tabia za kiafrika ina bidi ujisitiri kidogo ili usionekane mwehu!
Dah waninyma raha na hlo neno eveViba100 duh!!!
Dunia inaishaje kwa mfano. Ulizaliwa bila mavazi.Hao wanavuta kumbukunbu jinsi walivyokuja duniani bila mavazi unasema dunia inakwisha.Acha Utaninaona na wazee kabisa na mvi zao wapo hapo, sasa dunia ndo inaishia hivyooo
Unacho? TehDah waninyma raha na hlo neno eve
Mpka kimejificha kabisa!!Unacho? Teh
ha ha ha ha hebu usinchekeshe mieMpka kimejificha kabisa!!