Waridi
JF-Expert Member
- Mar 30, 2008
- 1,025
- 172
ASIKUDANGANYE MTU SISI WAAFRIKA(WATU WEUSI) KIBOKO!!!
Alexander mils aligundua lift ya maghorofa marefu
Richard spikes aligundua gia automatic ya magari
Joseph gammel aligundua internal combustion injini
Charles brooks aligundua fagio la barabara/mitaa
William Purvis aligundua pen ya fountain na mihuri
Lee burridge aligundua typewriter
Lovette aligundua printing mashine yenye uwezo mkubwa
Fredrick jones aligundua air conditioner/ kiyoyozi
Alice parker aligundua heating furnance
Lewis latimer aligundua taa ya umeme
Granville woods aligundua swichi ya kujizima- automatic
George Samson aligundua mashine ya kukausha nguo
John standard aligundua friji
E Bwana eeeH!!!!!!!!!!!!!!!!
Na msingi wa internet je? - Philip Emeagwali toka Nijeria!!!
Hizi figure zote nyeusi hapo sijakutajia mabingwa weusi wa karne za kale, wavumbuzi wa mahesabu na kadhalika. Watu weusi we acha tu, hivi leo marekani iko kama ilivyo kwa sababu ya figure hizo. Wakati bara la afrika linadoda, huenda sababu ni kuibiwa kwa hivi vichwa, jumlisha na brain drain ya sasa, ukiongeza na mafisadi walioko nyumbani balaa nuksi
Alexander mils aligundua lift ya maghorofa marefu
Richard spikes aligundua gia automatic ya magari
Joseph gammel aligundua internal combustion injini
Charles brooks aligundua fagio la barabara/mitaa
William Purvis aligundua pen ya fountain na mihuri
Lee burridge aligundua typewriter
Lovette aligundua printing mashine yenye uwezo mkubwa
Fredrick jones aligundua air conditioner/ kiyoyozi
Alice parker aligundua heating furnance
Lewis latimer aligundua taa ya umeme
Granville woods aligundua swichi ya kujizima- automatic
George Samson aligundua mashine ya kukausha nguo
John standard aligundua friji
E Bwana eeeH!!!!!!!!!!!!!!!!
Na msingi wa internet je? - Philip Emeagwali toka Nijeria!!!
Hizi figure zote nyeusi hapo sijakutajia mabingwa weusi wa karne za kale, wavumbuzi wa mahesabu na kadhalika. Watu weusi we acha tu, hivi leo marekani iko kama ilivyo kwa sababu ya figure hizo. Wakati bara la afrika linadoda, huenda sababu ni kuibiwa kwa hivi vichwa, jumlisha na brain drain ya sasa, ukiongeza na mafisadi walioko nyumbani balaa nuksi