Watu wasiojulikana wavamia na kutoroka na masanduku ya kura uchaguzi mdogo kisarawe

Mikael Aweda

JF-Expert Member
Dec 17, 2010
2,973
3,901
Wakuu leo ktk safari zangu za kikazi nilikuwa mkoa wa Pwani wilaya ya Kisarawe kata ya Msimbu na kijiji cha Mwanzo mgumu. Nilipofika habari zilizozagaa kila kona kijiji kizima ni habari ya watu ambao wenyewe wanawaita mabaunsa waliovamia chumba cha kuhesabia kura 27/5/2012 na kupora masanduku yote ya kura na kutokomea kusikojulikana.
Huu ulikuwa ni uchaguzi mdogo wa kijiji cha Mwanzo Mgumu ambao ulikuwa na ushindani mkali kati ya Chadema na CCM.
Habari zinasema tangu awali ilionekana wazi kuwa Chadema wangeshinda kwa mbali. Uchaguzi ukafanyika na kura zikapigwa. Wakati wa kuhesabu kura na kabla hawajafika hata nusu ya kuhesabu kura huku CCM ikiwa na kura 21 na Chadema 103 ndipo mabaunsa hao walipovamia chumba hicho na ikawa mwisho wa stori.
Cha kushangaza mpaka leo watu hao hawajajulikana na haijajulikana walitumwa na Chama kipi kati ya CCM na Chadema mbaya zaidi hakuna aliyekamatwa. Wengi wanahisi kuwa pengine ni CCM kwa kuwa kipindi chote cha kampeni ilionekana kulemewa sana kutokana na mgombea wake kutokubalika. Nasisitiza CCM inahisiwa tu na hakuna ushahidi wo wote uliopatikana kwa sababu nimeongea na viongozi watatu kutoka kijiji jirani cha Bwama na wote wamesema kwamba hakuna anayejua watu hao walikotoka na aliyewatuma.
Huku kijiji kimojawapo cha kata ya Kibuta, (jirani na kata ya Msimbu) wilaya ya Kisarawe mapema kidogo (siyo mwezi huu) kulikuwa na uchaguzi wa serikali ya Kijiji hicho ambapo CCM walishinda kwa kupata kura 107 huku Chadema ikipata 64.
Waandishi wa habari za magazetini ambao ni wanaJF nawapa Changamoto mtupe details ya hii habari. Kutoka chanika (ilala Dsm) ni kama km 50 or Less tu na utakuwa pwani ndani ya kijiji cha Mwanzo mgumu. Mimi sikuwa na Muda wa kukaa kutokana ratiba niliyokuwa nayo.

My take.
Mvutano mkali kati ya CCM na Chadema ktk mkoa wa Pwani (nyumbani kwa baba Riz) na ngome ya CCM inatupa ishara gani 2015?
 
Wakuu leo ktk safari zangu za kikazi nilikuwa mkoa wa Pwani wilaya ya Kisarawe kata ya Msimbu na kijiji cha Mwanzo mgumu. Nilipofika habari zilizozagaa kila kona kijiji kizima ni habari ya watu ambao wenyewe wanawaita mabaunsa waliovamia chumba cha kuhesabia kura 27/5/2012 na kupora masanduku yote ya kura na kutokomea kusikojulikana.
Huu ulikuwa ni uchaguzi mdogo wa kijiji cha Mwanzo Mgumu ambao ulikuwa na ushindani mkali kati ya Chadema na CCM.
Habari zinasema tangu awali ilionekana wazi kuwa Chadema wangeshinda kwa mbali. Uchaguzi ukafanyika na kura zikapigwa. Wakati wa kuhesabu kura na kabla hawajafika hata nusu ya kuhesabu kura huku CCM ikiwa na kura 21 na Chadema 103 ndipo mabaunsa hao walipovamia chumba hicho na ikawa mwisho wa stori.
Cha kushangaza mpaka leo watu hao hawajajulikana na haijajulikana walitumwa na Chama kipi kati ya CCM na Chadema mbaya zaidi hakuna aliyekamatwa. Wengi wanahisi kuwa pengine ni CCM kwa kuwa kipindi chote cha kampeni ilionekana kulemewa sana kutokana na mgombea wake kutokubalika. Nasisitiza CCM inahisiwa tu na hakuna ushahidi wo wote uliopatikana kwa sababu nimeongea na viongozi watatu kutoka kijiji jirani cha Bwama na wote wamesema kwamba hakuna anayejua watu hao walikotoka na aliyewatuma.
Huku kijiji kimojawapo cha kata ya Kibuta, (jirani na kata ya Msimbu) wilaya ya Kisarawe mapema kidogo (siyo mwezi huu) kulikuwa na uchaguzi wa serikali ya Kijiji hicho ambapo CCM walishinda kwa kupata kura 107 huku Chadema ikipata 64.
Waandishi wa habari za magazetini ambao ni wanaJF nawapa Changamoto mtupe details ya hii habari. Kutoka chanika (ilala Dsm) ni kama km 50 or Less tu na utakuwa pwani ndani ya kijiji cha Mwanzo mgumu. Mimi sikuwa na Muda wa kukaa kutokana ratiba niliyokuwa nayo.

My take.
Mvutano mkali kati ya CCM na Chadema ktk mkoa wa Pwani (nyumbani kwa baba Riz) na ngome ya CCM inatupa ishara gani 2015?

sosi plizi

Mkuu tume ya katiba, Soma vizuri bandiko la Mikael. Hivi hapo sosi ya nini wakati anasema yeye mwenyewe alikuwepo huko na amesikia habari zilizozagaa kila kona?!
 
Source ni mimi mwenyewe na kama huamini nenda kijijini hapo uthibitishe mwenyewe. Kama hutaki kuamini kuwa huu ni mwanzo wa mwisho wa ccm nitakusaidiaje? Nimeongea na wananchi zaidi ya sita na nimeongea na viongozi niliokuwa nashirikiana nao ktk kazi zangu na wote ni kutoka ccm.
 
We Mpemba, Waunguja wamesema muondoke kwao mrudi kwenu pemba!

Na sisi hapa Tanganyika hatuwahitaji tena!!

Nendeni mkapande minazi!

We Kiganyi mbona mbaguzi sana wewe, hujui kwamba bindamu wote ni sawa?

MOD wapo wapi member nabaguliwa?
 
Last edited by a moderator:
Source ni mimi mwenyewe na kama huamini nenda kijijini hapo uthibitishe mwenyewe. Kama hutaki kuamini kuwa huu ni mwanzo wa mwisho wa ccm nitakusaidiaje? Nimeongea na wananchi zaidi ya sita na nimeongea na viongozi niliokuwa nashirikiana nao ktk kazi zangu na wote ni kutoka ccm.

Ndugu yangu Mikael P Aweda kuongea na wananchi 6 kati ya watu wa kijiji kizima ndio uje na conclusion hapa jamvini? Mbona hutuambii unafanya kazi gani katika hicho kijiji?
we mwana CDM na ugomvi ni kati ya CCM na CDM unafikili utakuwa fair? Nasisitiza hii taarifa ina "uchakachuaji wa hali ya juu" na isipewe umuhimu wowote.

Wananchi wanataka maendeleo sio kila kukicha propaganda!
 
Last edited by a moderator:
Hilo zoezi la uhesabuji kura hakukuwa na ulinzi japo hata wa polisi wawili watatu? au sheria hairuhusu uwepo wa wanausalama wakati wa kuhesabu kura
 
Source ni mimi mwenyewe na kama huamini nenda kijijini hapo uthibitishe mwenyewe. Kama hutaki kuamini kuwa huu ni mwanzo wa mwisho wa ccm nitakusaidiaje? Nimeongea na wananchi zaidi ya sita na nimeongea na viongozi niliokuwa nashirikiana nao ktk kazi zangu na wote ni kutoka ccm.

Hizi ni dalili tosha kuwa hakuna Mtanzania mwenye akili timamu anyeishabikia CCM.

Wanaamua kuiba kura maana kuchakachua wameshindwa.

Cha ajabu ina maana huo uchaguzi haukuwa na usimamizi wa Jeshi la Polisi???



MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 
Ndugu yangu Mikael P Aweda kuongea na wananchi 6 kati ya watu wa kijiji kizima ndio uje na conclusion hapa jamvini? Mbona hutuambii unafanya kazi gani katika hicho kijiji?
we mwana CDM na ugomvi ni kati ya CCM na CDM unafikili utakuwa fair? Nasisitiza hii taarifa ina "uchakachuaji wa hali ya juu" na isipewe umuhimu wowote.

Wananchi wanataka maendeleo sio kila kukicha propaganda!
na wewe usiwe kama debe tupu takwimu hujubiwa na takwimu, taarifa hujibiwa na taarifa kama huyu mwana JF kaleta taarifa potofu au iliyochakachuliwa fine wewe weka taarifa sahihi inayokanusha ya kwake hapo utakuwa great thinker kinyume unaonekana gamba ndaani ya jf!
 
sosi plizi
.
Wewe Tume ya katiba Sosi hii hapa

url


Kama sosi hiyo hauijui basi ongezea na Urojo wa kwenu Chumbuni - Zanzibar

url
 
Huku bara panakuhusu nini mkuu?nyinyi si hamtaki ushirika,changanya ****** urudi kwenu micheweni baba
kumbe huyu ni mwana UAMSHO namihadhara waliochoma kanisa katoliki?? nina uchungu nao we acha tu!!
 
Back
Top Bottom