PAUL KAJIWE
Member
- Apr 26, 2012
- 8
- 3
Jamaa mmoja akizungumza na mwenzake mazungumzo yalikua ivi MWENZAKE bana mimi nataka kununua tv JAMAA acha ufujaji wa pesa tv yanini wakati hata siku moja hutokuja kuonekana kazi kuwaona wengine.MWENZA duu uh hii kali