Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
- Thread starter
- #81
hawa makafiri ni kuwapuuza tu, hawana maana.
Wanachokoza halafu wakijibiwa wanaanza kulia.
Nani analia lia hapa? Nyi mmeiba sadaka na laptop mmekamatwa sasa mnalia lia
hawa makafiri ni kuwapuuza tu, hawana maana.
Wanachokoza halafu wakijibiwa wanaanza kulia.
Duh njiwa kwani wewe unaishi Mbagala ?.
Waliingia kwenye ofisi ya mchungaji wakachana chana bible na kuiba sadaka na isitoshe wakachoma madhabahu.. OMG.. MUngu wasamehe.
wamenaswa wezi wa komputa sio waislam
hapo paliko andikwa waislam ni wapi au ndo muendelezo wa chuki zenu?
Hakika we kafiri una matatizo, gazeti lenyewe halijaandika hivyo ndomana umeleta habari nusu ili kuficha ukweli.
Acha kupoteza muda kujaribu kuupaka matope uislam.
Mnatukejeli tupandishe hasira, tukijibu mapigo mnaanza kulialia.
Not that i judge them, but until further notice hao walioiba wataitwa/kihisiwa ni waislamu kutokana na mazingira ya tukio la vurugu.
hapo paliko andikwa waislam ni wapi au ndo muendelezo wa chuki zenu?
Hakika we kafiri una matatizo, gazeti lenyewe halijaandika hivyo ndomana umeleta habari nusu ili kuficha ukweli.
Acha kupoteza muda kujaribu kuupaka matope uislam.
Mnatukejeli tupandishe hasira, tukijibu mapigo mnaanza kulialia.
muhalifu ni muhalifu tu,awe muislamu mkristio au mpagani.cha msingi tukemee uhalifu tu.sio kusema waislam waiba kompyuta au waktisto.......! sio sahihi.kwa mfano,kuna askofu alikutwa akikandamiza mtoto ndani ya gari maeneo ya mlimani miaka ya nyuma.unadhani ni sahihi kusema wakristo wa......!tuweni waadilifu jamani.Hizo computer ziliibiwa baada ya waislam wenye msimamo mkali(feki) kuvamia kanisa na kulivunja na kuiba vitu mbali mbali.. Ila watanyea debe hawa hata kama Rais ni alhaji mwenzao.. Sheria na kanuni haziwezi kupindishwa
Namna moja ya kuwagundua ni namna yenu ya kufikiri. Huwa hamuelewi kitu mpk kisemwe mara mia, japo pia yawezekana isiwe dawa.
Source: Mwananchi.
Sasa unamlaumu nani, Ivuga au Mwananchi?
Haya anza kuita hayo majina, ila zuzu, zoba na mbumbumbu usiite maana hayo ni yako
Nchi hii imeshaingia kwenye ugomvi wa kidini, na yote hii ni kwa sababu Rais ni MUISLAM angekuwa katokea upande wa pili wa dini haya yoye yasingetokea, na nina wasiwasi kuna baadhi ya watu humu wamemtumia yule mtoto akadhihaki UISLAM ili kuwatia hasira waislam waje juu ili waonekene wakorofi
Hahaaaaaa! Hawa jamaa zetu ni wa ajabu sana, kwenye sensa walishinikiza kipengele cha dini kiingizwe kwenye dodoso Hapa wamehusishwa na vurugu na uhalifu wanajitutumua kuukana UISLAMU na kujiita wahalifu. Yaani ni vigumu sana kuwaelewa hawa watu. Badala ya kujivunia ushujaa wao katika vurugu walizofanya kwa nia "njema" ya kulinda imani yao wanajitenga kwa mbali na kujifanya hawahusiki. Sisi wenzenu tumefundishwa kutetea imani hata ukiwekewa panga shingoni kwani kufa na kuteswa kwa ajili ya kutetea imani ni utakatifu. Kwa ndugu zetu hawa kutetea imani ni kufanya vurugu, mauaji na uporaji, kutesa wengine na wanapokamatwa wanaikana imani yao na uislamu wao na kujiita wahalifu........So amazing!
makafiri wanamatatizo sana.
Mbona alivyo shtakiwa muhando wa tanesco, mramba, yona au kweka walivyoshtakiwa kwa ubadirifu hawakusema wakristo wakamatwa kwa ufisadi?
Mnawachokoza waislam, wakijibu mapigo mnalalamika.[/
QUOTE]
Kwa tukio la mbagala hatuna namna ya kuutenganisha Uislam na uhalifu ule.Tusaidie kuweka point za msingi za kuweza kutenganisha. Ukizingatia walifanya uhalifu ule kwa kutetea Imani yao.
Hahaaaaaa! Hawa jamaa zetu ni wa ajabu sana, kwenye sensa walishinikiza kipengele cha dini kiingizwe kwenye dodoso Hapa wamehusishwa na vurugu na uhalifu wanajitutumua kuukana UISLAMU na kujiita wahalifu. Yaani ni vigumu sana kuwaelewa hawa watu. Badala ya kujivunia ushujaa wao katika vurugu walizofanya kwa nia "njema" ya kulinda imani yao wanajitenga kwa mbali na kujifanya hawahusiki. Sisi wenzenu tumefundishwa kutetea imani hata ukiwekewa panga shingoni kwani kufa na kuteswa kwa ajili ya kutetea imani ni utakatifu. Kwa ndugu zetu hawa kutetea imani ni kufanya vurugu, mauaji na uporaji, kutesa wengine na wanapokamatwa wanaikana imani yao na uislamu wao na kujiita wahalifu........So amazing!
ni wahalifu sio waislam.. mbona mi sijakamatwa