Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
wanaswa na na kompyuta, meza za kanisa
Mbagala.
Tuesday, 16 October 2012 08:32 Pamela Chilongola
WATU wanne zaidi wamekamatwa na polisi
wakiwa na kompyuta na meza zilizoporwa katika
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT),
Usharika wa Mbagala, Dar es Salaam.Kukamatwa
kwa watu hao kunafanya idadi ya waliokamatwa kutokana na vurugu zilizotokea Ijumaa wiki
iliyopita kufikia 126. Vurugu hizo zilisababishwa na watu wanaodaiwa
kuwa waumini wa dini ya Kiislamu kuvamia Kituo
cha Polisi Maturubai wakitaka wapewe mtoto
aliyedaiwa kudhalilisha kitabu kitakatifu cha Quran
kwa kukojolea.
Source: Mwananchi.
My take: kutokana na umbumbu na shule ndogo na akili za panzi walishindwa kuzitumia zile laptop kwa sababu zilikuwa na Password.
Mbagala.
Tuesday, 16 October 2012 08:32 Pamela Chilongola
WATU wanne zaidi wamekamatwa na polisi
wakiwa na kompyuta na meza zilizoporwa katika
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT),
Usharika wa Mbagala, Dar es Salaam.Kukamatwa
kwa watu hao kunafanya idadi ya waliokamatwa kutokana na vurugu zilizotokea Ijumaa wiki
iliyopita kufikia 126. Vurugu hizo zilisababishwa na watu wanaodaiwa
kuwa waumini wa dini ya Kiislamu kuvamia Kituo
cha Polisi Maturubai wakitaka wapewe mtoto
aliyedaiwa kudhalilisha kitabu kitakatifu cha Quran
kwa kukojolea.
Source: Mwananchi.
My take: kutokana na umbumbu na shule ndogo na akili za panzi walishindwa kuzitumia zile laptop kwa sababu zilikuwa na Password.