Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,909
- 32,335
Wakuu wa MMU.
Jamaa yangu mmoja alikuwa na mpenzi wake pale chuo cha IFM alikuwa anampatia huduma zote na alikuwa anaamini siku mmoja atakuwa mke wake wa ndoa.
Lakini jamaa yangu akawa anasema huyo mwanamke wakati mwingine anakuwa amini kama kweli anapendwa na huyu mwanamke siku mmoja akaamua kumjaribu kama anapendwa...Maongezi yalikuwa hivi.
Jamaa: Hallow sweet...
Bint: Poa.
Jamaa: Baby tunaweza kuonana leo?
Bint: Hapana leo naenda kumpokea baba airport.
Jamaa: Na kesho je baby!
Bint: Sitaweza kesho namsindikiza mama harusini.
Jamaa: Basi nitairudisha au nitamtumia mdogo wangu kijijini.
Bint: Nini hiyo Sweet wangu jamani?
Jamaa: Nilikununulia simu ya Blackberry Touch Mlimani City jana.
Bint: Aaah Baby wangu jamani asante nitakuja leo hata ukitaka nilale huko huko nitalala Sweet.
Jamaa: Vipi huendi tena kumpokokea baba na kumsindikiza mama harusini?
Bint: Hakuna kitu nilikuwa nakutania tu baby wangu.
Jamaa: Na mimi nilikuwa nakutania.
Bint: Nyoo! Usinipigie simu tena na wala nisikusikie tena unanitafuta.
Jamaa akaamua kujitoa na kuaongalia ustaarabu mwingine.
Jamaa yangu mmoja alikuwa na mpenzi wake pale chuo cha IFM alikuwa anampatia huduma zote na alikuwa anaamini siku mmoja atakuwa mke wake wa ndoa.
Lakini jamaa yangu akawa anasema huyo mwanamke wakati mwingine anakuwa amini kama kweli anapendwa na huyu mwanamke siku mmoja akaamua kumjaribu kama anapendwa...Maongezi yalikuwa hivi.
Jamaa: Hallow sweet...
Bint: Poa.
Jamaa: Baby tunaweza kuonana leo?
Bint: Hapana leo naenda kumpokea baba airport.
Jamaa: Na kesho je baby!
Bint: Sitaweza kesho namsindikiza mama harusini.
Jamaa: Basi nitairudisha au nitamtumia mdogo wangu kijijini.
Bint: Nini hiyo Sweet wangu jamani?
Jamaa: Nilikununulia simu ya Blackberry Touch Mlimani City jana.
Bint: Aaah Baby wangu jamani asante nitakuja leo hata ukitaka nilale huko huko nitalala Sweet.
Jamaa: Vipi huendi tena kumpokokea baba na kumsindikiza mama harusini?
Bint: Hakuna kitu nilikuwa nakutania tu baby wangu.
Jamaa: Na mimi nilikuwa nakutania.
Bint: Nyoo! Usinipigie simu tena na wala nisikusikie tena unanitafuta.
Jamaa akaamua kujitoa na kuaongalia ustaarabu mwingine.