gambachovu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,854
- 292
1. ....kupost thread nyingi.....
2. .....kuchakachua thread za wenzake....
3. .....ukorofi-korofi wakati anarespond kwenye posts ......
4. ....kuandika thread ndefu......
5. .....kudharau threads za wenzake kwa namna anavyoiandika post yake .......
6. .....kuchangia kila thread anayoiona imepostiwa....
7. .....kujibu hoja kwa mpangilio,honestly,passionately,empathetically na full of compassion...
8.......kuleta thread useful kwa JF members......
9.......kuleta thread pumba kabisa ndani ya JF.....
2. .....kuchakachua thread za wenzake....
3. .....ukorofi-korofi wakati anarespond kwenye posts ......
4. ....kuandika thread ndefu......
5. .....kudharau threads za wenzake kwa namna anavyoiandika post yake .......
6. .....kuchangia kila thread anayoiona imepostiwa....
7. .....kujibu hoja kwa mpangilio,honestly,passionately,empathetically na full of compassion...
8.......kuleta thread useful kwa JF members......
9.......kuleta thread pumba kabisa ndani ya JF.....