matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,225
- 3,944
Kusahau naanza nikishakuona. . . kukumbuka naacha nikishakuona.
nakuPM basi tuyamalize,we nawe!ukishaanza poz zako.
Kusahau naanza nikishakuona. . . kukumbuka naacha nikishakuona.
nakuPM basi tuyamalize,we nawe!
NikuPM kitu gani?
Hehehehe naREPORT ABUSE bila hata kusoma.
Tukifika huko nitajieleza please
umenielewa au bado unaitaji muda kutafakari Pm yangu?
umenielewa au bado unaitaji muda kutafakari Pm yangu?
umenielewa au bado unaitaji muda kutafakari Pm yangu?
Ohhh sorry. . . kumbe nilikua sijakwambia? Nimekublock.
am not saying anything
just watching you guys
but be careful and play it safe
Utajieleza kuhusu nini?
matumbo vipi mwana.kitu na box? tupeane taarifa basi wengine nasi tujaribu zali
Kwa nini nataka unipm
Kwa nini nataka unipm
Siwezi kukuPM bila kujua chakuPM na kwanini unataka nikuPM.
hakuna wa kunikera hapa hata mmoja.........cjaona bado mana wote kwangu burudaaaaaaaaaaaaaaaaani
nitonye funguka
kweli we noumershampeni yenyewe nilisahau kuifungua,asubuhi nimeamka nimeikuta nzimaa ipo juu ya meza
Siwezi kukuPM bila kujua chakuPM na kwanini unataka nikuPM.
wapo wawili nitonye(nitarudi badae) na matumbo..zidi ya kimwana..ngoja niwasikilizie najua hawawezi kugonga mwamba ..haya mambo ni kama kunywa juice vileSasa kamanda kama vipi si uokoe jahazi tu.....
Au mpaka kijana mwenzio aumbuke?? lo