Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
Happy new year guys.lazima kuna watu wanakukera hapa JF na wanaokufurahisha hapa JF wataje bila aibuuuu. :exception: naomba usiwataje hawa marafiki zangu hawa na Mola awape UZIMA,usiwataje ..REJAO,MALARIA SUGU,RITZ,FAIZA fOXY wengine wamwage bila aibu.unajua kwa nini nawaombea mola awape uzima?