Katika pitapita zangu leo asubuhi, nilishtushwa na watu wakisema, "sikiliza, tazama, angalie, nk" Kumbe wanaonyeshana Dr. Slaa! Kilichonishangaza zaidi, ni jinsi Mh. Makinda alivyokuwa akimfagilia! Nilishangaa zaidi nilipoona watu wengi waliosisimka ni wa vyama vyote!
Baada ya hapo, mtaani watu wameendelea kujadiliana, Slaa leo alikuwepo bungeni....
Heshima niliyoina leo juu ya uwepo wa Dr. Slaa bungeni; heshima iliyotolewa na Spika, wabunge wote na wanachi walioona na waliosikia, inanifikirisha sana...
This MUST BE A GREAT MAN FOR HIS MEN AND WOMEN....., Who cares! I do!
Baada ya hapo, mtaani watu wameendelea kujadiliana, Slaa leo alikuwepo bungeni....
Heshima niliyoina leo juu ya uwepo wa Dr. Slaa bungeni; heshima iliyotolewa na Spika, wabunge wote na wanachi walioona na waliosikia, inanifikirisha sana...
This MUST BE A GREAT MAN FOR HIS MEN AND WOMEN....., Who cares! I do!