Mrimi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,691
- 633
Jana mkuu wa mkoa alishuhudia live jinsi jengo la ofisi ya mkuu wa wilaya mpya ya Uyui lilivyochaa kwa kipindi kifupi tu tangu lianze kutumika.
Kiukweli kuta zina nyufa na milango ipo hoi kiasi kwamba ni vigumu kumshawishi mtu mzima na akili zake kuwa limechoka hivi baada ya kutumika kwa miezi michache tu.
Akitolea mfano, mkuu wa mkoa alisema ametembelea wananchi kijijini na kukuta milango ya nyumba zao ni bora kuliko aliyoikuta pale ofisini.
Kwa kuwa wengine tupo mbali na mkoa huu, tunaomba weyeji wa hapo watujuze angalau wahusika wake ni akina nani.
Nawasilisha...
Kiukweli kuta zina nyufa na milango ipo hoi kiasi kwamba ni vigumu kumshawishi mtu mzima na akili zake kuwa limechoka hivi baada ya kutumika kwa miezi michache tu.
Akitolea mfano, mkuu wa mkoa alisema ametembelea wananchi kijijini na kukuta milango ya nyumba zao ni bora kuliko aliyoikuta pale ofisini.
Kwa kuwa wengine tupo mbali na mkoa huu, tunaomba weyeji wa hapo watujuze angalau wahusika wake ni akina nani.
Nawasilisha...