Jamani wana JF mbona memberz wa SUA hatupeani ma-breaking newz yanayojili kunako MJENGONI?????
wanakunywa sup huko sasaivi
Dah,wakuu yaani masela zangu wahapa kitaa ambao wako sua wote washaenda chuoni coz wamesup,sasa me najiuliza mbona A-level walikuwafit iweje chuo wanasup au wamelegeza msuli,bt wao wakaniambia kwamba nitajionea mwenyewe,xo wakuu nackia msuli wapale ni kirambac
Te te te,89 mpaka 45 mkuu zeduduz hapo co msuli 2 tucsahau maombi
embu fafanua hapo...na kulipia hostel ni mpaka mda wa kwenda au inakuaje???ndo ivyo mkuu..maombi kwa sana tu..afu kuhusiana na Malipo Ya hostel kuna special account Yake tofouti na ile Ya chuo..so unapoenda kulipa ile pesa ya chuo angalia usije uka include na pesa Ya hostel..
embu fafanua hapo...na kulipia hostel ni mpaka mda wa kwenda au inakuaje???
mi najua ni ile form yenye registration na medical tuna download then tunasepa nayo...aise nipe mchongo hiyo inapatikana wapi??Ndo ivyo Mkuu..kuna special account Yake..vipi? Kwani ushachukua Admission Letter?
mi najua ni ile form yenye registration na medical tuna download then tunasepa nayo...aise nipe mchongo hiyo inapatikana wapi??