Laurence
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 3,104
- 420
Ukifika kwa sasa hapa ujionee utawaonea huruma,ni wanafunzi wa Social mwaka wa tatu wanawahakiki upyaaa yani ili wapate haki ya kurudi masomoni then mahali penyewe ni hapa jirani na Duwasa kuna uwanja wa mpira ni jua kali sana na kibaya zaidi inasemekana kesho ndio siku ya mwisho ya kuwahakiki na kibaya zaidi Jumatatu ya tar nne wanaanza UE so huku ni kukomoana ama nini? Na kibaya zaidi hawaangalii wewe unatoka mkoa ila kesho ndio mwisho mnalionaje wana Jf?