kitalolo
JF-Expert Member
- Dec 4, 2006
- 1,827
- 707
GT,
Huyu babu naona huenda alikulia seminari.. na ukoloni umemkaa bara2!
Pia wako wengi tu wanaovaa tai wananuka jasho kama nini! Kwani ni % ngapi ya nyumba bongo kuna viyoyozi?
Kuwa nadhifu na kupendeza sii tu mitai... personally mimi sizipendi.
La kushangaza hata % kubwa ya viongozi Afrika bado wamekumbatia tai.. dont we have something African... so as just to identify us from others?
kupendeza na kuwa smart ni upako kuna watu wanatumia gharama kubwa sana ya mavazi lakini hawapendezi wala hawatoki smart